Shambulio la kiakili nchi nzimaKwahiyo huu ndio ushahidi?
Imani za dini na ushirikina ni shambulio la kiakili aisee
Mimi siamini shirk wala uchawi wala mizimu ila ipo
Waswahili mnayo sana haya mambo ila mimi nimechangia tu wala hakuna sehemu nimesema naamini
Hayo ni maneno yako mwenyewe
Nenda Haiti ukashuhudie nchi nzima wanaamini haya mambo
Wametoka huko huko kwenu aisee
Shambulio la kiakili nchi nzima
Hata kausha damu sio hivi
Huku ndio kurogwa sasa and you are one of them View attachment 2797684
Dini inategemea una amini nini mkuuYes nakubaliana na wewe katika hili
Lakini pia imani za ushirikina na dini ni shambulio la akili pia
Dini inategemea una amini nini mkuu
Hii ime trend sana kwenye mitandao 😄Dini is the biggest scam iliodumu kwa muda mrefu kiliko zote
Haijalishi MUNGU gani unamuamini..... ukweli ni kwamba hakuna MUNGU
Je, Wanalipia LUKU?Labda kwasababu sijaelezea mazingira na muonekano wa hiyo nyumba ndio maana naonekana kama mzushi tu😃
Nyumba yenyewe kwa nje ya geti imezungukwa na vichaka hadi njia ya kuingilia haionekani, ndani ya geti ni vichaka vitupu, vioo vya madidirisha vilishapasuka yani kiufupi ni kama gofu.
Yani unaniuliza swali kana kwamba nna ushirika na hayo majini, by the way hiyo nyumba niliyoiongelea hapa ni nyumba ya zamani sana na mita yake sio ya luku bali ni zile mita za kizamani ambazo kulikua na msoma mita anapita kusoma ndio unapata bill pia nahisi hata tanesco wanaogopa kuingia kukata umeme.Je, Wanalipia LUKU?
Wabongo bhana
Usikute mwenye nyumba kafunga zake photocell, Nyumba Haina mtu
Kasafiri kaenda zake uko taa zinajiwasha usiku, asbh zinajizima.
Majirani mnazusha kua Kuna majini mle yanazima na kuwasha taa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app



Upo serious mkuu? Kuna nyumba kibao zina mambo hayo njoo PM nikuunganishe kwa gharama kidoogo sanaKwa kuwa kuna binadamu na majini kwa baadhi tunavyoamini
Kweli majini wapo kila sehemu na tunaishi nao
Pia wengine wanaamini kuna mizimu na kama wazungu wanaamini kuna Nafsi zilizouliwa kwenye baadhi ya nyumba
Mimi binafsi kuna hotel nililala lakini cha ajabu nilikuwa naona kila wakati kama kuna kitu kinakatisha pembeni yangu ( kimvuli)
Sikushtuka sana kwani napenda sana kukutana na mambo kama hayo na nafsi hizo
Nilijaribu kuongea nae bila kupata jibu, nikalala zangu
Ila haya mambo yapo sana na nikipata fursa ya kupata haunted house ntaenda nikaone
Tanesco hawawezi kukatia umeme kwenye Nguzo?Yani unaniuliza swali kana kwamba nna ushirika na hayo majini, by the way hiyo nyumba niliyoiongelea hapa ni nyumba ya zamani sana na mita yake sio ya luku bali ni zile mita za kizamani ambazo kulikua na msoma mita anapita kusoma ndio unapata bill pia nahisi hata tanesco wanaogopa kuingia kukata umeme.
Naomba mawasiliano ya huyo mtumishi wa Mungu nahitaji maombi mkuuSi kweli mkuu,wapo wachungaji hayo ni mambo madogo Sana,hao viumbe wanasalimu amri vizuri sana.Jambo la msingi elewa tu kwamba wapo watumishi wa Mungu wenye nguvu za kiroho na wanaponya watu,watu wanafunguliwa vizuri Sana.Majini ,wachawi kwa level zao wanakimbia.
Sizungumzi kwa kubahatisha,ila kuna wanaoelewa ninaongea nini.Bahati nzuri kuna mtu ktk familia yangu mwenye uwezo na nguvu za mamlaka hayo na nimeshuhudia vifungo vya watu vya mateso vinaondoka.Watu wanapona magonjwa.
Watu wamekosa imani kwasababu matapeli wamekuwa wengi.
Pili,wewe unayeombewa km pia una imani haba hutaupata uponyaji.
By theway yapo mimikuna moja kigogo nlihamia weeki ya kwanza nlilala nikaamka nimelala nje nimepoteza biashara ya sehem karakoo nimepoteza mtoto kwenye hio nyumba nimepiga vibao sana usiku mpaka nlipopata upenyo wa kuondka uchumi ulifuga kila kituJamaa uliyemkuta ulimuacha?
I would love toUpo serious mkuu? Kuna nyumba kibao zina mambo hayo njoo PM nikuunganishe kwa gharama kidoogo sana
Upo Gaza?I would love to
Lakini niko mbali na Tz kwa sasa mkuu
Duh! Natamani sana kuona au kushuhudia mauzauza kama hayo.Yani unaniuliza swali kana kwamba nna ushirika na hayo majini, by the way hiyo nyumba niliyoiongelea hapa ni nyumba ya zamani sana na mita yake sio ya luku bali ni zile mita za kizamani ambazo kulikua na msoma mita anapita kusoma ndio unapata bill pia nahisi hata tanesco wanaogopa kuingia kukata umeme.
I wishUpo Gaza?
Ushamba tu wa waswahiliWabongo bhana
Usikute mwenye nyumba kafunga zake photocell, Nyumba Haina mtu
Kasafiri kaenda zake uko taa zinajiwasha usiku, asbh zinajizima.
Majirani mnazusha kua Kuna majini mle yanazima na kuwasha taa yenyewe
Sent using Jamii Forums mobile app


