wafanyakazi wamevumilia vya kutosha,hizi ambali za kuongeza mshahara kati 6% to 11% Kama zitakuwa ni za kweli wakatiwa kutangazwa kwa bajeti 2013/2014,kamwe wafanyakazi hatutavumilia upuuzi huu wa miaka nendarudi,hivyo tunangoja tusikie hilo ongezeko litakuwaje kupitia waziri wa kazi.
Na serikali ikae ikijua jinsi gharama za maisha zilivopanda maradufu likiwemo hili la nauli mpya,ni muda wa wafanyakazi kuungana na kudai haki za msingi ikiwemo ongezeko la mshahara unaokidhi maitaji ya kila siku ya binadamu
Na serikali ikae ikijua jinsi gharama za maisha zilivopanda maradufu likiwemo hili la nauli mpya,ni muda wa wafanyakazi kuungana na kudai haki za msingi ikiwemo ongezeko la mshahara unaokidhi maitaji ya kila siku ya binadamu