peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,828
- 21,457
Badala ya July sasa ni August 😂
===
Mshikamano!
THTU inapenda kuwajulisha Wanachama na Wafanyakazi Wote kwamba viongozi wamefuatilia suala la nyongeza ya mshahara ulioahidiwa na Mh. Rais wakati wa sherehe za Mei mosi 2023.
Ofisi Ya Rais Utumishi imetuthibitishia kwa uhakika kwamba nyongeza hiyo ipo PALE PALE kama ilivyoahidiwa na italipwa kuanzia mwezi wa 8 mwaka huu 2023.
Hivyo basi tunawaomba Wanachama na Wafanyakazi wate tuendelee na majukumu yetu wakati tunasubiri utekelezaji.
===
TAARIFA MUHIMU
Mshikamano!
THTU inapenda kuwajulisha Wanachama na Wafanyakazi Wote kwamba viongozi wamefuatilia suala la nyongeza ya mshahara ulioahidiwa na Mh. Rais wakati wa sherehe za Mei mosi 2023.
Ofisi Ya Rais Utumishi imetuthibitishia kwa uhakika kwamba nyongeza hiyo ipo PALE PALE kama ilivyoahidiwa na italipwa kuanzia mwezi wa 8 mwaka huu 2023.
Hivyo basi tunawaomba Wanachama na Wafanyakazi wate tuendelee na majukumu yetu wakati tunasubiri utekelezaji.