Kama hukubali acha kazi. Kweni ni lazima ufanye kazi serikalini.
wafanyakazi wamevumilia vya kutosha,hizi ambali za kuongeza mshahara kati 6% to 11% Kama zitakuwa ni za kweli wakatiwa kutangazwa kwa bajeti 2013/2014,kamwe wafanyakazi hatutavumilia upuuzi huu wa miaka nendarudi,hivyo tunangoja tusikie hilo ongezeko litakuwaje kupitia waziri wa kazi.
Na serikali ikae ikijua jinsi gharama za maisha zilivopanda maradufu likiwemo hili la nauli mpya,ni muda wa wafanyakazi kuungana na kudai haki za msingi ikiwemo ongezeko la mshahara unaokidhi maitaji ya kila siku ya binadamu
wafanyakazi wamevumilia vya kutosha,hizi ambali za kuongeza mshahara kati 6% to 11% Kama zitakuwa ni za kweli wakatiwa kutangazwa kwa bajeti 2013/2014,kamwe wafanyakazi hatutavumilia upuuzi huu wa miaka nendarudi,hivyo tunangoja tusikie hilo ongezeko litakuwaje kupitia waziri wa kazi.
Na serikali ikae ikijua jinsi gharama za maisha zilivopanda maradufu likiwemo hili la nauli mpya,ni muda wa wafanyakazi kuungana na kudai haki za msingi ikiwemo ongezeko la mshahara unaokidhi maitaji ya kila siku ya binadamu
Tatizo mnajifanya wavumilivu sana wa shida sasa kelele za nini wakati mlijibiwa kua hata kura zenu hazitakiwi? Au hata hayo maneno yanahitaji mtu awe na masters au awe prof ndo aelewe? Chukua hatua na si kulalamika kila kukicha.
Habari kamili ni kwamba nyongeza ni 8.4% kwa watumishi wote sasa convert na kiasi ulichokuwa unabeba muda ule wa awali.wafanyakazi wamevumilia vya kutosha,hizi ambali za kuongeza mshahara kati 6% to 11% Kama zitakuwa ni za kweli wakatiwa kutangazwa kwa bajeti 2013/2014,kamwe wafanyakazi hatutavumilia upuuzi huu wa miaka nendarudi,hivyo tunangoja tusikie hilo ongezeko litakuwaje kupitia waziri wa kazi.
Na serikali ikae ikijua jinsi gharama za maisha zilivopanda maradufu likiwemo hili la nauli mpya,ni muda wa wafanyakazi kuungana na kudai haki za msingi ikiwemo ongezeko la mshahara unaokidhi maitaji ya kila siku ya binadamu
Walimu waige mfano wa wenzao Kenya, wawe na tamko moja litakalowapeleka ktk mafanikio juu ya madai yao.Serikali hii ya sasa si sikivu inahitaji kushinikizwa ukizingatia rais mwenyewe alishawadjarau kitaambo!
Mkuu wababe hao!!Utawafanya nini?
Acha Kazi,uone Kaz Kupata Kazi