Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
Nikiangalia kutoka upande mwingine naona hapa kuna kitu kingine kati ya huyu bidada na mtuhumiwa.
Kutongozwa sio kasa (naamini hata mleta maada anakubali), sasa kosa liko wapi?
Awe muwazi, kama walikuwa wawili wanagombea mwenzake kaopoa halafu yeye hasira zake analeta hapa aseme pia, kwani tupo wengine pia.
Kabisa inawezekana mihasira yake yote anataka kuimalizia hapa. Sababu mie sioni kosa la mtongozaji PM ipo mtumie hayo maneno roho yako itulie