mapenzi ya moyoni hayaangalii chochote. Unapenda tu ukiulizwa umependea nini hujui sababu. Ni nadra sana hayo.
OFF TOPIC: nikuruhusu kurudi dar kwani mi nimekuzuia?
Kwani upo wapi?
Katiba inasemaje kuhusu kutongozana?
Sidhani kama ina kifungu chochote kuhusu kutongozana. Labda tuliingize na hili kwenye madai ya katiba mpya?. Kifungu kitakuwa: Bila kuathiri sheria za nchi, kila mtu ana haki ya kutongoza na kutongozwa..........
Njia nyingine mbadala ni kupiga marufuku kabisa suala la kutongozana, tena kwa mujibu wa katiba ya nchi...Hapo sasa sijui wahanga watakuwa akina nani!
WanaJF tuna mawazo mazuri sana ya kukutana na kufahamiana, ila kinachosikitisha ni kwamba ndani ya mikutano hii majibaba mengine inatumia kutufataki! Inatongoza kila mdada!! Tuwafanyaje hawa? tuanzishe wikleaks kwa ajili yao?
mkitongozwa mnalalamika, usipotongozwa unalalamika, which is which? kwani unalazimiswa, ni maongezi tu, unasema hutaki basi,
au unasema nina wangu period, ww ni matured i hope, vp? that's nature ndio maana watu wanaoana, atajuaje kama hujaolewa au umeolewa? au mbona ukikubali mkila raha unasherehekea kwa miguno na full shangwe?
tena unaanza kusema sikujua kama JF ningempata mwanaume mzuri kama ww.
vitu vya kawaida sana hivi
Unataka watu waandamane?