Hatuna marafiki, bali tuna watu wakubadilishana nao mawazo tu

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,421
40,410
Wengi huwa tunajidanganya ya kuwa rafiki yangu ni fulani na fulani; ila kiukweli yule si rafiki bali ni mtu uliyemchagua tu ili kubadilishana naye mawazo.

Kwa umri wa chini ya miaka 40 ni vigumu kuukubali huu ukweli; kwa sababu ni kundi lililopo kwenye ujana na mitindo ya kisasa; ambalo ni kundi lenye marafiki wengi feki.

Kiuhalisia, rafiki atakuwa karibu na wewe hasa pale ndugu na jamaa watakapokugeuka, na atayabeba matatizo yako kama ni ya kwake.

Nawasilisha
 
Wengi huwa tunajidanganya ya kuwa rafiki yangu ni fulani na fulani; ila kiukweli yule si rafiki bali ni mtu uliyemchagua tu ili kubadilishana naye mawazo.

Kwa umri wa chini ya miaka 40 ni vigumu kuukubali huu ukweli; kwa sababu ni kundi lililopo kwenye ujana na mitindo ya kisasa; ambalo ni kundi lenye marafiki wengi feki.

Kiuhalisia, rafiki atakuwa karibu na wewe hasa pale ndugu na jamaa watakapokugeuka, na atayabeba matatizo yako kama ni ya kwake.

Nawasilisha
Mbona siku nyingi wote tunajua hivyo?? Ina maana wewe ulikuwa hujui? Pole!
 
Wengi huwa tunajidanganya ya kuwa rafiki yangu ni fulani na fulani; ila kiukweli yule si rafiki bali ni mtu uliyemchagua tu ili kubadilishana naye mawazo.

Kwa umri wa chini ya miaka 40 ni vigumu kuukubali huu ukweli; kwa sababu ni kundi lililopo kwenye ujana na mitindo ya kisasa; ambalo ni kundi lenye marafiki wengi feki.

Kiuhalisia, rafiki atakuwa karibu na wewe hasa pale ndugu na jamaa watakapokugeuka, na atayabeba matatizo yako kama ni ya kwake.

Nawasilisha
Sitaki marafiki siwataki noo.
Sitaki wanafiki
Sitaki watu fake
Lalalalaaaaaah
 
Back
Top Bottom