Hatujui kesho yetu

Kiranga mtumwa wewe unanisemea maneno ya uongo Mimi? Niliyekufungua uwezo kujitambua na ukaweza kujielezea jinsi gani ulivyo mtumwa ukifafanua awali ya yote jinsi gani ulivyo mtumwa wa Muda sasa hio post number sikukupa link au nikupe tena?

Pole sana mtumwa Kiranga
 
Mkuu ungefanya kumpotezea mana mjadala wenu unaharibu lengo la mtoa mada kwa alichotaka tujifunze
Nakushukuru sana.

Nampeleka ignore list mazima maana naona kuendelea kujibizana naye kunaweza kuwatoa kwenye reli bila ya kumuongezea yeyote chochote.

Samahani sana kwa mazungumzo yoyote ambayo hayajafikisha viwango ambayo ninaweza kuwa nimeghafilika kuyafanya katika kujibizana naye.

Nakuahidi hayatat9kea tena, kwa sababu naenda kumpwleka ignore list.

Asante sana kwa uelewa wako na kusimamia mada ya msingi.
 
Nimekuuliza definition ya ntumwa ni nini? Mpaka sasa hujajibu.
Mtumwa definition yake ni pamoja na wewe Kiranga unashindwa kuji-define jinsi gani ulivyo mtumwa?

Pole sana mtumwa Kiranga
 
Nimeambiwa niachane mjadala na wewe kwa sababu wewe ni mshenzi usiyejua hata kujifuta mavi.

Na hapa unatuletea kipindupindu tu.
.
Utapindua neno lolote na kutushinda kwa uzofu wako kwenye ujinga.

Kwa hivyo, nakupeleka kwenye ignote list.

Kuanzia hapa sitaona ushuzi ma iharo wako wowote.

Kamwe.
 
Umeshindwa hoja mtumwa

Na kukimbilia ignore ni sehemu ya utumwa pia

Pole sana mtumwa
 
Mtumwa definition yake ni pamoja na wewe Kiranga unashindwa kuji-define jinsi gani ulivyo mtumwa?

Pole sana mtumwa Kiranga
Upo kwenye ignore list yangu.

Kuanzia hapa sitaona chochote utakachoandika.

Kwa sababu hujafikia kiwango cha kujadiliana nami.

Na pia, nimeshauriwa nisiharibu uzi wa watu kwa kuendeleza mazungumzo mavi na wewe.
 
Sawa mtumwa Ila kukimbilia ignore pia ni sehemu ya utumwa wa kushindwa kusimamia hoja

Pole sana mtumwa
 
Upo kwenye ignore list yangu.

Kuanzia hapa sitaona chochote utakachoandika.

Kwa sababu hujafikia kiwango cha kujadiliana nami.
Nimekuzidi pakubwa mno nikirejea majibizano yetu nimebaini kwamba wewe ndio huna kiwango cha kujadiriana na Mimi hata unafika maamuzi ya kukimbilia ignore baadala ya kujadiri hadi kufika mwafaka maana yake upepo wangu na wako havifanani mtumwa

Pole sana mtumwa
 
Miaka 5 ndani ya jeshi upande ufikie nyota tatu?,hata kama alianzia nyota moja hii habari nina wasiwasi nayo
 
Oya Mzee...mim hapa najitafuta, natafuta mtaji , then naingia kwenye biashara, Kuna fursa nimeiona sehem, inahitaji mtaji wa pesa na equipments.

Naomba unipe muda tu
 
Oya Mzee...mim hapa najitafuta, natafuta mtaji , then naingia kwenye biashara, Kuna fursa nimeiona sehem, inahitaji mtaji wa pesa na equipments.

Naomba unipe muda tu
Sawa mtumwa kabla hujafungua biashara hio ya kitumwa unayoifikiria kuianzisha huku hauna hata mtaji usisahau your master is watching you, sawa mtumwa jiandae kisaikolojia katika hio biashara ya kitumwa

Pole sana mtumwa
 
Nachoamini. Kila mtu anazaliwa na bahati yake. Yeye tu ndio wakuichezea.
Kuna watu ukiwaona na ukikumbuka makuzi yao na hali zao kwa sasa unashindwa kuelewa.
Jamaa yangu m1 tulisoma nae primary akiwa kaliwa funza miguuni. Mchafu kuliko wanafunzi wote. Shule alikuwa akija siku anayotaka kwa kifupi mtoro. Leo ni tajiri mkubwa na ana kanisa lake kubwa, ni mchungaji. Anakula vya madhabahuni. Anapiga suit kila siku. Ana Ana kila kitu. Nyumba za maana, Magari mazuri ya kutembelea nk.
MAisha ni tofauti na tunavyoyachukulia.
 
Hahah sawa bhnaa

Inawezekana hata wewe, unapigwa na jua huko, lakini huwezi kusema humu jf
Watumwa wengi leo ni sikukuu ya Noel Ila wanaishia tu kula harufu ya pilau linalopikwa nyumba za jirani watumwa hawana uwezo ku-afford hata wali au pilau

Poleni sana watumwa wote kwa mnayoyapitia
 
Sawa mtumwa kabla hujafungua biashara hio ya kitumwa unayoifikiria kuianzisha huku hauna hata mtaji usisahau your master is watching you, sawa mtumwa jiandae kisaikolojia katika hio biashara ya kitumwa

Pole sana mtumwa
Acha usenge basi

Huwez kuandika, bila kusema utumwa
 
Kwahiyo ukiwa soldier na nyota 3 ndio umefanikiwa?
Kazi zote za kijeshi ni utumwa , wakuu wa kambi na wakuu wa majeshi ndio walio na unafuu kidogo.
Kichwa yako ngumu kuelewa..

Sina maana hiyo, uliyo nayo wewe .

Think deep,
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…