Hatua za kuchukuliwa baada ya watu 20 kufa Moshi

Hatua za kuchukuliwa baada ya watu 20 kufa Moshi

MIMI binafsi siendi kwa mashehe wala waganga wa kienyeji huwa naenda kwa waganga wakiristo wenye vilinge vya uganga wa kikiristo kama huyo Mwamposya, Nabii suguye,Ngurumo ya upako nk mwenyewe napenda na hunitoi huko
Kuna kufa kimwili na kufa kiroho, kuna aina mbili za vifo
 
Wangekuwepo wangezuia zoezi hilo kama wangeona linahatarisha usalama,ndio jazi yao kuwepo kwenye mikusanyiko hiyo!Au huwa unaelewa nini pale jeshi linapozuia mkutano wa kisiasa kwa madai ya kutokuwa na nguvu kazi ya kutosha kusimamia mkutano?Issue ni kwamba serikali haina interest na mikutano ya dini ndio maana hawajisumbui kupeleka askari!
Ungezungumzia kusimamia muda wa kuisha ibada ningekuelewa ila kusimamia watu kukanyaga mafuta ni kuwabebesha gunia la misumari Police?
 
Wewe haupo sahihi! Mwenye makosa hapa siyo mwamposa bali ni polisi waliotakiwa kutoa ulinzi ila hawakuwajibika! Polisi wako tayari kulinda mikutano ya CCM lakini hawapo tayari kulinda mikutano mingine ya wananchi.Polisi wapo tayari kutokutoa vibali vya mikutano ya vyama vya upinzani kwa kisingizio kuwa hakuna usalama ila ukitaka kufanya mkutano wa dini wala hutakiwa kuomba kibali na wala hawana haja ya kuja kuhakikisha usalama wa mkutano huo.

Mwamposa yeye ana jukumu la kukusanya watu na kuwapiga neno la mungu ila suala la crowd risk management strategy ni la polisi. Polisi hawakutimiza wajibu wao kwa hiyo wao ndiyo watuhumiwa namba moja!
Unajua tukio lilivyotokea?
 
Mambo ya kawaida watu kufa Kwenye mikusanyiko 'Huyu Jamaa hana kosa 'Watu wanakufa clubs,juzijuzi watu wamekufa Kwenye mazishi ya Generali Iran,,watu wengi wanakufa kule saudi Arabia wakati wa kumpiga shetani mawe wanapomaliza hija..Tuache kuhukumu,tuwaache watu waabudu wanachotaka. MWAIPOSA wewe songa mbele. Panga safu yako vizuri ya ulinzi wa watu wakati wa kukanyaga mafuta..tuajiri sisi mabaunsa tutaweka mambo vizuri.
Hiyo fursa kwa ma bounsa kupata ajira ya kusimamia watu kukanyaga mafuta Hilo ndio muhimu
 
Wewe haupo sahihi! Mwenye makosa hapa siyo mwamposa bali ni polisi waliotakiwa kutoa ulinzi ila hawakuwajibika! Polisi wako tayari kulinda mikutano ya CCM lakini hawapo tayari kulinda mikutano mingine ya wananchi.Polisi wapo tayari kutokutoa vibali vya mikutano ya vyama vya upinzani kwa kisingizio kuwa hakuna usalama ila ukitaka kufanya mkutano wa dini wala hutakiwa kuomba kibali na wala hawana haja ya kuja kuhakikisha usalama wa mkutano huo.

Mwamposa yeye ana jukumu la kukusanya watu na kuwapiga neno la mungu ila suala la crowd risk management strategy ni la polisi. Polisi hawakutimiza wajibu wao kwa hiyo wao ndiyo watuhumiwa namba moja!
Tatizo Polisi haiwezi kujituhumu. Ni kama kwa Akwilina, Polisi inakwepa kuwajibika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upumbavu na Ujinga wa Kilokole ndiyo Huu! Mambo ya kiroho haya au Ujinga? Sijaona one time Yesu apifanya miujiza vikatokea Vito vya Kijinga kama hivi!
We usiwe kama mtu asiyeshirikisha ubongo. Kule Makkah wanakufa watu kila siku wanapoenda kumtupia jiwe shetani, lini ulisema uidlam ufutwe duniani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ungezungumzia kusimamia muda wa kuisha ibada ningekuelewa ila kusimamia watu kukanyaga mafuta ni kuwabebesha gunia la misumari Police?
Ambacho huelewi ni nini?Kazi ya polisi ni kusimamia usalama,sasa kama kuna tukio linahatarisha maisha wanatakiwa kuingilia kati!Nini maana ya mikusanyiko kuwepo na ulinzi wa polisi?Unadhani wako hapo kusubiri muda ufike waseme fungeni?
 
Na huwezi kutoka huko kwa sababu akili yako ilishatekwa...
Siyo ajabu wewe ni miongoni mwa wale walionyweshwa maji yaliyochujwa kwa chupi zilizokuwa zinavaliwa na mchungaji flani hivi...
Hao manabii wanalisha watu mavitu ya ajabu ili kuwateka bila wao kujitambua!
Sasa hata wewe pasina shaka hujitambui...


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mtu ukiumwa una Uhuru ukatibiwe wapi hospitali,kwa shehe ,kwa mganga wa kienyeji au kwa mganga wa Kikiristo Kama Mwamposya nk Mimi hupenda kwenda kwa waganga wakiristo sikanyagi hospitali.Ndio imani yangu ya kibinafsi
 
Kwa sababu hawezi kuthibitishwa kwa akili na mawazo ya kibinadamu ndio maana akawa Mungu.
Kwa hiyo kisichoweza kuthibitishwa kwa akili na mawazo ya kibinadamu ni Mungu? Kwa hiyo kwa sababu hatuwezi kuthibitisha kwa Kili na mawazo ya kibinadamu uwepo wa viumbe hai kwenye sayari nyingine kwa hiyo hizo sayari nyingine nazo ni Mungu?
 
Wewe haupo sahihi! Mwenye makosa hapa siyo mwamposa bali ni polisi waliotakiwa kutoa ulinzi ila hawakuwajibika! Polisi wako tayari kulinda mikutano ya CCM lakini hawapo tayari kulinda mikutano mingine ya wananchi.Polisi wapo tayari kutokutoa vibali vya mikutano ya vyama vya upinzani kwa kisingizio kuwa hakuna usalama ila ukitaka kufanya mkutano wa dini wala hutakiwa kuomba kibali na wala hawana haja ya kuja kuhakikisha usalama wa mkutano huo.

Mwamposa yeye ana jukumu la kukusanya watu na kuwapiga neno la mungu ila suala la crowd risk management strategy ni la polisi. Polisi hawakutimiza wajibu wao kwa hiyo wao ndiyo watuhumiwa namba moja!
Acha upotoshaji, makusanyiko ya kidini tena yenye yanatangaza habari za amani, upendo na uzima polisi waende kufanya nini?

ungewalalamikia red cross ningekuelewa.Polisi??

imekuwa mikasunyiko ya fujo hiyo?

nisikilize, hata kwenye mikasunyiko ya mechi za simba na yanga ambayo huwa imegubikwa na mivutano ya hisia kali za kishabiki haijawahi pelekea jeshi la polisi kuwapo uwanja wa Taifa kwa misingi ya kukabiliana na hatarisho la vifo kama ilivyotokea moshi.

Yesu christo mwenyewe, Huyo Bwana na Mwokozi wa Ulimwengu ambaye Mwamposa anajitanabaisha kama ni mtumishi wake, wakati wake, enzi hizo,alipokuja hapa duniani, maandiko matakatifu yanaandika, alikuwa anakusanya maelfu na maelfu ya wasikilizaji, lakini haikupata kutokea jambo la namna hii eti watu wafe.

Maandiko yanaandika, wakati baadhi ya watu walihofia usalama wa watoto katika majumuiko hayo, walipotaka kuwaondoa warudi nyumbani aliwazuia, na hakuna mtoto wala mzazi alijutia.

Yeye pia alikuwa anafanya matendo mithiri ya haya ya mwamposa, tena kwa namna ya hatari sana, maandiko yanasema alipata chukua chapati sijui nini kama tano hivi na akaelekeza wapewe maelfu na maelfu ya watu wenye njaa waliokuwa kwenye mkusanyiko, katika namna ya kawaida lazima ugombaniaji wa chakula ulitokea, lakini hakuna mtu alivunjika kucha, walikula na kusaza.

Popote alipo Yesu, pametapakaa shibe,furaha,amani,upendo, kweli na uzima.

Popote alipo shetani, ukifungua macho yako, ukiyafungua kwa dhati, utaona pamejaa njaa,uzuni,chuki,magomvi,uongo na kifo.
 
Jeshi la Police ndiyo lingeweka utaratibu wa kukanyaga mafuta?
Hili neno kinachotakiwa viongozi wa dini waelezwe waelimishwe kusimamia usalama wa waumini wao wanapokuwa Katika utekelezaji wa vitu vyao vya kiimani
Mfano dini ya kihindu huwa Kuna sherehe ya kutupiana mawe inaitwa stone throwing festival wahindu hupopoana mawe kweli kweli sio utani na watu wengi hujeruhiwa.
Serikali ya India imelinyamazia kimya Hilo swala Hadi Leo hawajui wafanye Nini sababu idadi kubwa waumini Ni wahindu wanaogopa kuwaudhi

Anyway Cha msingi swala Kama hili la vifo limeshatokea kinachotakiwa Ni utulivu Katika maamuzi ya way forward .Hekima na busara zitumike na viongozi wa dini waelimishwe kuhusu umuhimu wa kusimamia usalama wa waumini wao kwenye maeneo ya ibada
 
Wewe haupo sahihi! Mwenye makosa hapa siyo mwamposa bali ni polisi waliotakiwa kutoa ulinzi ila hawakuwajibika! Polisi wako tayari kulinda mikutano ya CCM lakini hawapo tayari kulinda mikutano mingine ya wananchi.Polisi wapo tayari kutokutoa vibali vya mikutano ya vyama vya upinzani kwa kisingizio kuwa hakuna usalama ila ukitaka kufanya mkutano wa dini wala hutakiwa kuomba kibali na wala hawana haja ya kuja kuhakikisha usalama wa mkutano huo.

Mwamposa yeye ana jukumu la kukusanya watu na kuwapiga neno la mungu ila suala la crowd risk management strategy ni la polisi. Polisi hawakutimiza wajibu wao kwa hiyo wao ndiyo watuhumiwa namba moja!
Vurugu na watu kufa zinaweza kutokea hata watu wakiwa 10 tu.
 
Kwenye msiba kama huu mtu unatakiwa kuwa mtulivu kwenye maamuzi

Kinachotakiwa viongozi wa dini zote waelimishwe umuhimu wa usalama wa waumini wao maeneo ya ibada zao na umuhimu wa wao kusimaimia usalama wa waumini wao wanapotekeleza ibada ili sisi wapenda kukanyaga mafuta tukanyage mafuta kifua mbele huku tukiwa na uhakika wa usalama wetu
 
Dada Tabutupu mambo ya Kiroho wala Usiingilie. You know nothing my sister you better stay Cool.
Kuna Mambo /Vitu vitatokekea hutakaa uamini!
Mnatishiwa na mambo ya kiroho halafu hao wahuni wanazidi kuneemeka. Hakuna ukiroho hapo, Mwamposa ni mkora kama wakora wa CCM, tofauti tu ni kua mkora Mwamposa anatumia Biblia kufanya ukora wake wakati genge la majuha wa CCM wanatumia siasa kufanya ukora wao. Wote hao sehemu yao ni katika ziwa la moto!
 
Back
Top Bottom