Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,262
- 18,711
Kwanza nimpongeze waziri wa mambo ya ndani kwa hekima aliyo tumia kuweka vizuri jambo hili hadi likaeleweka vizuri kwa jamii juu ya makosa yaliyofanyika na huyu mtu anaye jiita nabii.
Pili hili liwe fundisho kwa hawa wasaka utajiri kwa udanganyifu kupitia dini, sijui Mungu wa nyakati hizi ameounguza hasira lakini ipo siku watalipwa sawaswa na matendo yao.
Naomba serikali ifanye mambo haya.
1. Kufunga mojamoja kwa moja kibanda hiki cha mwamposa.
2. Asiruhusiwe kufanya mamho yake haya ndani ya Tanzania.
3. Yeye mwamposa na kundi lake wawajibike na kesi hii ya mauaji kama kesi nyingine.
4. Achunguzwe Utajiri wake na kundi lake lote waeleze wamepata wapi.
Hili liwe fundisho kwa wengine wenye roho mbaya kama mwamposa. Ameacha watu wamekufa na kujeruhiwa anekimbilia dar kwenye kibanda chake kawe. Roho mbaya sana hii.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pili hili liwe fundisho kwa hawa wasaka utajiri kwa udanganyifu kupitia dini, sijui Mungu wa nyakati hizi ameounguza hasira lakini ipo siku watalipwa sawaswa na matendo yao.
Naomba serikali ifanye mambo haya.
1. Kufunga mojamoja kwa moja kibanda hiki cha mwamposa.
2. Asiruhusiwe kufanya mamho yake haya ndani ya Tanzania.
3. Yeye mwamposa na kundi lake wawajibike na kesi hii ya mauaji kama kesi nyingine.
4. Achunguzwe Utajiri wake na kundi lake lote waeleze wamepata wapi.
Hili liwe fundisho kwa wengine wenye roho mbaya kama mwamposa. Ameacha watu wamekufa na kujeruhiwa anekimbilia dar kwenye kibanda chake kawe. Roho mbaya sana hii.
Sent using Jamii Forums mobile app