Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 17,713
- 34,057
Mtasubiri hadi Yesu arudi. Chuo ni chenu hakuna aliyewazuia kujenga halafu unasema mnasubiri majibu ya Serikali. Hii haingii akilini. Je hiyo serikali isipojibu? Hamtajenga? Je ikisema imeshawapeni kile cha Morogoro mtafanyaje?Kinyungu,
Tunasubiri majibu kutoka kwa muhusika.
Jiongezeni sheikh