TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,904
- 11,296
YesBima ya NHIF wanapokea?
YesBima ya NHIF wanapokea?
Magufuli ndiye anapaswa kulaumiwa first maana ndani ya uongozi wake ndipo NHIF ilianza mauzauza rasmi.
Hii ni impact ya Magufuli.
Naunga mkono hojaKIZIMKAZI hajui chochote kuhusu watanganyika na wala hajali. YY sio kiongozi ni Dalali tu
Wewe sio mzima. Tokea uhuru wa hii inchi kuna kipindi bima ya afya ya taifa ilikuwa inafanya kazi vema kama kipindi cha magufuli?Magufuli ndiye anapaswa kulaumiwa first maana ndani ya uongozi wake ndipo NHIF ilianza mauzauza rasmi.
Hii ni impact ya Magufuli.
Yule Waziri wenu wa Afya anasemaje?Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
Kimsingi Mwendazake ndio aliua NHIF Kwa kuchukua pesa zake.Wana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu😭😭
Sema ukweli sisi tumekupokea pale ulikuwa na shida kwenye kadi ... usichafue jina la hospitali yetu. Sio ustaarabuWana bodi, Kichwa cha habari kinajieleza Usiku wa leo nilimpeleka mwanangu hospitali ya IMEC hapa manispaa ya Iringa kupata matibabu baada ya kupatwa na homa ya ghafla.
Aisee! Nilichokutana nacho ni kwamba wamesitisha kupokea kadi za NHIF labda bima zingine. Kwa hali hii, sijui serikali inatupeleka wapi wananchi.
Huko vituo vya serikali kwenyewe huduma ni mbovu plus foleni.
Daah! Tanzania nchi yangu
Sema ukweli sisi tumekupokea pale ulikuwa na shida kwenye kadi ... usichafue jina la hospitali yetu. Sio ustaarabu
Hospitali yenu imekataa sio issue ya kadi yanguSema ukweli sisi tumekupokea pale ulikuwa na shida kwenye kadi ... usichafue jina la hospitali yetu. Sio ustaarabu
Dili na walio hai. Kila kitu Magu? StpdMagufuli ndiye anapaswa kulaumiwa first maana ndani ya uongozi wake ndipo NHIF ilianza mauzauza rasmi.
Hii ni impact ya Magufuli.