Wana bodi,baada ya kuripoti kadi ya NHIF kutopokelewa hospitali za private,hatimaye nimefanya uchunguzi wangu binafsi mbali na hospitali ya IMEC iliyopo manispaa ya Iringa,nikagundua kwamba,sio private zote hazipokei,bali ni hiyo tu moja(IMEC) ambayo hawajatoa sababu za kueleweka kwanini wameacha kuwahudumia wateja wa NHIF.
Niombe radhi kwa kusababisha taharuki kwa kutofanya research kabla ya kurusha bandiko la namna ile.
Nimalize kwa kusema,"Muungwana akivuliwa nguo,huchutama"
Niombe radhi kwa kusababisha taharuki kwa kutofanya research kabla ya kurusha bandiko la namna ile.
Nimalize kwa kusema,"Muungwana akivuliwa nguo,huchutama"