Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Last edited by a moderator:
ila hii ndoa ya iko fasta mno juzi wamechumbiana leo harusi kunanini hapa kinafichwa nitonye na Arabela
maana na Erickb52 keshatia pingamizi. nitonye nasikia una mke na mtoto ya kweli hayo
 
Last edited by a moderator:
Ninaomba nikuhakikishie kuwa hakuna talaka iliyotoka kwa nitonye kwenda kwa sweetlady
Nilikuwa ndio mshenga kwa wakati huo na sweetlady alichwa akiwa na mtoto mdogo ambaye hadi sasa nitonye ndiye anamtunza....ukiona kapotea huwa yuko kwa@sweetlady anahudumia ndoa.
Arabela mi ni muwazi na sipendi upate shida au uwe jamvi la walevi kama Nitty naomba tuliza moyo wako uenjoy maisha!

Nadhani ile warning haijakuingia vizuri, huna ubavu wa kuweka pingamizi go to hell
 
Last edited by a moderator:
zubedayo_mchuzi ukiona wa nini wenzako wanasema watakipata lini

kaka nitonye hongera sanaa,mwenye kaka hakosi wifi mambo si ndo hayo.....

Hii ni kawaida ya wa TZ wote wanampenda mtu akiwa na kamba mguu ikitoka unakuwa mmmmmmmhhhh.....mimi na mipasho wapi na wapi....nimetoa baraka zangu aolewa hata kama TALAKA haikutoka......mtoto akilia wembe mpeeeeeeeeeeeeeee......mwili una thamani kuliko .....utamalizia mwenyewe
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom