Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

Hatimaye Nitonye atangaza ndoa rasmi kwa Arabela

shoping ya harusi inakuhusu, viatu. gauni,hereni, mkufu, bila kusahau walet.

Ujumbe wangu mliupata asubuhi wewe na huyo "bia" wako Kaizer..!??
 
Last edited by a moderator:
Hilo ondoa shaka, ndio maana nimeanza kwa kuwalamba BAN Mamndenyi na zubedayo_mchuzi ...

Baraka zangu zote ziwakute ppote alipo,kwani ndoa za siku hizi ni kama kosta za mbagala akishuka mtu anapanda mtu,sijui anaechoka ni abiria au gari ..........

..............
.......................
...............................
 
Last edited by a moderator:
Ndo imeshawezekana hivyo..

.....mkuu mi TAARIFA ZANGU za ki-intelligensia wwe ndio unae wowa ila kwa kimvuli cha Nitonye huyo jamaa mwenye sura toleo la kwanza..............
.............
................
...................over......
 
Arabela naomba ukanushe kumkubali mume wa sweetlady please coz nahisi hali ya hewa itakuwa kama DRC muda si mrefu.....amani ya humu unaishikilia wewe na kauli ya kumba ndoa isimamishwe kwanza hadi tuafikiane otherwise MAJUTO NI MJUKUU

Cc: Baba V nitonye
 
Last edited by a moderator:
Bibi harusi nimewekwa ndani. My wii wa ukweli Heaven on earth utasimamia ukumbi,sare,nguo za maharusi,mialiko na wasimamizi bila kusahau kamati
 
Last edited by a moderator:
Arabela naomba ukanushe kumkubali mume wa sweetlady please coz nahisi hali ya hewa itakuwa kama DRC muda si mrefu.....amani ya humu unaishikilia wewe na kauli ya kumba ndoa isimamishwe kwanza hadi tuafikiane otherwise MAJUTO NI MJUKUU

Cc: Baba V nitonye

Baba V na nitonye naomba mnihakikishie iwapo talaka ilitoka baina ya nitonye na sweetlady
 
Last edited by a moderator:
shoping ya harusi inakuhusu, viatu. gauni,hereni, mkufu, bila kusahau walet.

Umesahau DEMBA inabidi uwe kompliti, na viwalo vya ndani, mi mwenyewe kazi yangu iyo...vi g-string vya kutupia, stockings 'za balaa'....
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom