Hatimaye na Mimi yamenikuta

Hatimaye na Mimi yamenikuta

Asante Mkuu.
Ila unapochepuka maana yake tayari haumuheshimu mwenza wako.

Mfano huo mchepuko wa mke, shemeji zako, rafiki zako, jirani zako wakijua mkeo anachepuka unadhani utaheshimika? na Vise versa.

Na wanawake wana udhaifu mkubwa wa kutokutunza Siri Kwa wanaolala nao. Huyo mchepuko atakujua nje ndani mpaka udhaifu wako yaani Mambo yako yote ataambiwa.

Ni hatari Sana.
Ushauri wa bure mle mtigo huyo mkeo upunguze machungu acha kulia lia mimi demu nikiisi tu anachepuka namla tako hasira zote zinaisha na hata akichepuka mimi roho hata ainiumi

Sent from my EML-L29 using JamiiForums mobile app
 
Mkeo maharage ya mbeya hapo kuna bodaboda au muuza chipsi naye ana mpakua

Anyway tafuta pesa nunua jiko gesi asije kupakuliwa na wauza mkaa ni dharau
 
Nawasalimu wote.

Nyie wanandoa aisee hebu heshimuni ndoa zenu.

Nimeoa miaka 5 Sasa juzi nimegundua wife anachepuka na Jamaa. Tena kirahisi rahisi tu. Huyu mwanamke nilikuwa Nampenda aisee, Ila kaniona Fala. Kinachoniuma zaidi sijawahi kuchepuka pamoja na vishawishi vyote navyokutana navyo Ila niliheshimu ndoa kinyama.

Daaah aiseee, Jamaa anaetembea nae nimemfahamu nae pia Kaoa, Sasa hapa nawaza sijui nikalale na mke wake halafu nifanye nae ujinga wote halafu nimtumie uchafu niliofanya na mke wake.

Kweli kuna watu hawana Akili Sasa unachepuka vipi na mke au mume wa MTU halafu na wewe ni mwanandoa? Halafu ukisikia mwenzako anachepuka unalalamika wakati wewe umelala au kulalwa na Mtu ambae analala au kulalwa na mwingine???

Hili Jambo limebadilisha kabisa mtazamo wangu Kwa wanawake na kitu inaitwa ndoa.

Mnaotaka kuoa hebu tafakarini mara mbili mbili Kwanza, Kama hamuwezi vumilia zinaa na mna roho ngumu oeni. Ila Kwa wale wanaoweza vumilia zinaa na hawana sababu za msingi za kuoa msijaribu hata Kidogo, narudia tena msijaribu.

Asilimia kubwa ya wanawake wanataka kuolewa ili kupata Ile heshima na title kwamba ni mke wa Mtu Ila deep down hawaelewi nini maana ya ndoa na ni nini Wana sacrifice wanapoingia katika ndoa.

Ila maamuzi niliyochukua ni kutengana na wife ninayempenda Ila ndio hivyo mapenzi hayalazimishwi pia umri wangu bado ni rika la 20's hivyo still bado takuwa na Mambo mengi ya kufanya.

Wife nishamsamehe na huyo jamaa waliefanyana nae shamsamehe nimemwachia Mungu sababu Kisasi ni cha Mungu na hata Yule mke wake nitamwonea tu.

Kuna Muda nasema Sasa wanawake watanikoma ni chapa ilale ha ha ha, daaah Ila deep down naona tawaonea tu kwa makosa ya Mtu mwingine.

Wenye ndoa ambazo hazina wachepukaji mshukuruni Sana Mungu Siku zote bila Kuchoka sababu msiba usikie tu Kwa jirani yako.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya Ila naamini ni mwanzo mpya wenye nguvu na mwanga zaidi.

Mfurahie sikukuu hii ya Christmas.



Kwanini unamlaumu mwanaume usimlaumu mkeo?

Kama umemsamehe na bado umekuja kuandika hapa tayar tatizo lipo tena kubwa. Poleni sana wewe na mkeo.

Halafu wewe buana😅😅 unawashauri wenzio wasithubutu kuoa wakati wewe ulioa , mkeo anachepuka, mkatengana, ukamsamehe na bado umemsamehe🏃‍♀️🏃‍♀️🏃‍♀️

Nimewaza mengi ila mengine wacha ninyamaze nayo tuu ila polee mdogo wangu
 
Kwanini unamlaumu mwanaume usimlaumu mkeo?

Kama umemsamehe na bado umekuja kuandika hapa tayar tatizo lipo tena kubwa. Poleni sana wewe na mkeo.

Halafu wewe buana unawashauri wenzio wasithubutu kuoa wakati wewe ulioa , mkeo anachepuka, mkatengana, ukamsamehe na bado umemsamehe

Nimewaza mengi ila mengine wacha ninyamaze nayo tuu ila polee mdogo wangu
Tena baada ya miaka mitano.. amefaidi ndoa kwa msimu mzima wa uchaguzi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom