Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 50,217
- 123,475
Nimefanya kumnukuu nash mcKwani si umeona hapo mimi niemsema? Unataka hadi aseme nani ndo iwe imesemwa?
Nimefanya kumnukuu nash mcKwani si umeona hapo mimi niemsema? Unataka hadi aseme nani ndo iwe imesemwa?
Watu mnatafuta duuhKwa hiyo ndio umejoin leo ili uanzishe huu uzi?

Nachukia sana kauli ya' tafuta hela' kwan huyo jamaa amesema yeye yupo broke? Halafu aliyekwambia mwanamke anachepuka kwa ajili ya pesa nani? Kumridhisha mwanamke ni neno pana sana , sexual fantasies zinatofautiana mno , unaeza kukomaa na kimkojoza kumbe mwenzio anapenda anal,Tafuta hela kijana hakuna haja ya kulilia mapenzi!
Kuchapiwa ? Kuna shida mahali,,,aidha humfikishi huyo mkeo ama huna hela kwa hio humtimizii mahitaji yake ,,, tatizo lipo Kwako !!!
Asilimia kubwa ya wanawake walioko kwenye ndoa wanachepuka kwa sbb zifuatazo;
Kutoridhishwa
Uchumi
Gubu/kutukujali n.k (hii sababu Ni Minor)
Wa kuiweka ndoa yako kwenye mstari ni wewe!
Wacha kulia lia hapa
Ha ha ha aisee imebidi nicheke tuNdo ukome na kibamia chako kwanza hata nguvu za kiume huna kwanini usisaidiwe!
Ni tamu Ila Mambo yashaharibikaVitoto vina shida hivi...
Ndoa tamu bhanaa..
Nilitumia JF kwa miaka miwili bila kuwa na account.Kwa hiyo ndio umejoin leo ili uanzishe huu uzi?
Kuna Mwalimu wangu mmoja aliwahi Sema " Ukitaka Jambo liwe Siri basi usilifanye"Kuchapiwa ni siri ya ndani banaa...!!! Utaimwagaje siri ya ndani kirahisi hivi?
Tukiwaambia "WASIOE" wanakuja na mabango mixer mapovu juu.
Ndio, nilioa early 20's sahizi nipo late 20's. Sikutaka Mambo mengi Ila ndio hivyo mipango haijaenda nilivyotaka. Nakomaa na Mambo mengine Kwa sasaUlioa mdogo sana
Nakuelewa Sana Liverpool VPNTukiwaambia "WASIOE" wanakuja na mabango mixer mapovu juu.
Wengine utasikia "una tatizo la saikolojia"
Huyu mwamba angekua hit and run yoteee haya yasingemtokea.
Ila kajifanya loverboy then cheki matokeo.
Mkiambiwa MSIOE muwe mnaelewa.
#YNWA
😂😂Nakuona Yuda unasubiri birthday boy akue kue mkubwa ufanye yako 😄
Nilishakutanagaa na mdadaa nikaimbisha akakubali bhanaa baada ya kumnyandua mara tatu nne nikaja jua n mke wa mtu aiseee niliumiaaa nikatubu ilee dhambi nakampotezeaga mdg mdg bilaa kumwambia chcht
Kusoma na kupita hakukutosha ukaona uangalie kajoin lini. Kweli kua uyaoneKwa hiyo ndio umejoin leo ili uanzishe huu uzi?