Hatimaye na Mimi yamenikuta

Hatimaye na Mimi yamenikuta

Mkuu sikujui hunijui ila ka umeoa na uko salama mwombe Mungu kesho iwe salama pia...

Mi mke alikua namkojolesha mpaka anakunya lakini alichepuka nikiwa naye..

Jamaa yangu kamfungulia mkewe biashara mkuubwa nje kampeleka magari kamnunulia mkewe na mahela huu na bado mke akawa anagawa nje..

Ndugu yangu hawa viumbe Mungu alisema tuishi nao kwa akili sio kama alikua hajui anaelewa akili zao..so jitahidi saana kutolaumu mwenzio anapofeli kwenye ndoa yake binafsi nilikuana mtazamo kama wako yalipo Nikita ndo nikaelewa kwa nn ndoa unapewa cheti mwanzoni kabla ya kuimaliza
Pole sana kaka!duhhh!
 
Tafuta hela kijana hakuna haja ya kulilia mapenzi!

Kuchapiwa ? Kuna shida mahali,,,aidha humfikishi huyo mkeo ama huna hela kwa hio humtimizii mahitaji yake ,,, tatizo lipo Kwako !!!

Asilimia kubwa ya wanawake walioko kwenye ndoa wanachepuka kwa sbb zifuatazo;
Kutoridhishwa
Uchumi
Gubu/kutukujali n.k (hii sababu Ni Minor)

Wa kuiweka ndoa yako kwenye mstari ni wewe!
Wacha kulia lia hapa
Uchumi, Umalaya wa mwanaume( mke kutaka kulipiza), Ukimwi( hasa kama umeletwa na mme) hizo ndizo sababu za wanawake walioko kwenye ndoa kuchepuka.
 
Haya wewe ukioa utakuja kunikumbuka kwa hicho nilichoandika

Mkuu hio kitu sio hadi nioe,,,hata hapa nilipo sikubaliani na hio kauli ya hovyo....na nina eperience ya wanawake kwa 20 years with more than 63+ relationship...

kauli za hovyo sana hizo,,, excuse za hovyo kabisa...hasa zikitoka mdomoni mwa mwanaume
 
Ukweli ni kwamba hili janga lipo kwenye ndoa nyingi na tusione kwamba huyu dogo ndiye limemkumba peke yake, no waathirika ni wengi na hili janga la usaliti linatesa ndoa nyingi. Ndoa nyingi mke hashiki simu ya mume na mume hashiki simu ya mke na wanafanya hivyo kwa makubaliano ili kuhofia kugunduana usaliti ili ndoa isije kuvunjika. Na mtu kama huyo anakuja hapa jukwaani kumsema dogo kumbe hata ndani ya ndoa yake anajua sio salama.
 
Nawasalimu wote.

Nyie wanandoa aisee hebu heshimuni ndoa zenu.

Nimeoa miaka 5 Sasa juzi nimegundua wife anachepuka na Jamaa. Tena kirahisi rahisi tu. Huyu mwanamke nilikuwa Nampenda aisee, Ila kaniona Fala. Kinachoniuma zaidi sijawahi kuchepuka pamoja na vishawishi vyote navyokutana navyo Ila niliheshimu ndoa kinyama.

Daaah aiseee, Jamaa anaetembea nae nimemfahamu nae pia Kaoa, Sasa hapa nawaza sijui nikalale na mke wake halafu nifanye nae ujinga wote halafu nimtumie uchafu niliofanya na mke wake.

Kweli kuna watu hawana Akili Sasa unachepuka vipi na mke au mume wa MTU halafu na wewe ni mwanandoa? Halafu ukisikia mwenzako anachepuka unalalamika wakati wewe umelala au kulalwa na Mtu ambae analala au kulalwa na mwingine???

Hili Jambo limebadilisha kabisa mtazamo wangu Kwa wanawake na kitu inaitwa ndoa.

Mnaotaka kuoa hebu tafakarini mara mbili mbili Kwanza, Kama hamuwezi vumilia zinaa na mna roho ngumu oeni. Ila Kwa wale wanaoweza vumilia zinaa na hawana sababu za msingi za kuoa msijaribu hata Kidogo, narudia tena msijaribu.

Asilimia kubwa ya wanawake wanataka kuolewa ili kupata Ile heshima na title kwamba ni mke wa Mtu Ila deep down hawaelewi nini maana ya ndoa na ni nini Wana sacrifice wanapoingia katika ndoa.

Ila maamuzi niliyochukua ni kutengana na wife ninayempenda Ila ndio hivyo mapenzi hayalazimishwi pia umri wangu bado ni rika la 20's hivyo still bado takuwa na Mambo mengi ya kufanya.

Wife nishamsamehe na huyo jamaa waliefanyana nae shamsamehe nimemwachia Mungu sababu Kisasi ni cha Mungu na hata Yule mke wake nitamwonea tu.

Kuna Muda nasema Sasa wanawake watanikoma ni chapa ilale ha ha ha, daaah Ila deep down naona tawaonea tu kwa makosa ya Mtu mwingine.

Wenye ndoa ambazo hazina wachepukaji mshukuruni Sana Mungu Siku zote bila Kuchoka sababu msiba usikie tu Kwa jirani yako.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya Ila naamini ni mwanzo mpya wenye nguvu na mwanga zaidi.

Mfurahie sikukuu hii ya Christmas.

Pole mkuu

Ndoa Ina mambo maZito ,
 
Jiboreshe zaidi kiafya kimuonekano n.k

Tafuta hela zaidi

Usilipize kisasi kitachokufanya ufanane na hao wazinzi

Muachie Mungu

Mkuu utanawiri huyo mke wako atajuta.
 
Mkuu hio kitu sio hadi nioe,,,hata hapa nilipo sikubaliani na hio kauli ya hovyo....na nina eperience ya wanawake kwa 20 years with more than 63+ relationship...

kauli za hovyo sana hizo,,, excuse za hovyo kabisa...hasa zikitoka mdomoni mwa mwanaume
Subiri tu utayaona
 
Nawasalimu wote.

Nyie wanandoa aisee hebu heshimuni ndoa zenu.

Nimeoa miaka 5 Sasa juzi nimegundua wife anachepuka na Jamaa. Tena kirahisi rahisi tu. Huyu mwanamke nilikuwa Nampenda aisee, Ila kaniona Fala. Kinachoniuma zaidi sijawahi kuchepuka pamoja na vishawishi vyote navyokutana navyo Ila niliheshimu ndoa kinyama.

Daaah aiseee, Jamaa anaetembea nae nimemfahamu nae pia Kaoa, Sasa hapa nawaza sijui nikalale na mke wake halafu nifanye nae ujinga wote halafu nimtumie uchafu niliofanya na mke wake.

Kweli kuna watu hawana Akili Sasa unachepuka vipi na mke au mume wa MTU halafu na wewe ni mwanandoa? Halafu ukisikia mwenzako anachepuka unalalamika wakati wewe umelala au kulalwa na Mtu ambae analala au kulalwa na mwingine???

Hili Jambo limebadilisha kabisa mtazamo wangu Kwa wanawake na kitu inaitwa ndoa.

Mnaotaka kuoa hebu tafakarini mara mbili mbili Kwanza, Kama hamuwezi vumilia zinaa na mna roho ngumu oeni. Ila Kwa wale wanaoweza vumilia zinaa na hawana sababu za msingi za kuoa msijaribu hata Kidogo, narudia tena msijaribu.

Asilimia kubwa ya wanawake wanataka kuolewa ili kupata Ile heshima na title kwamba ni mke wa Mtu Ila deep down hawaelewi nini maana ya ndoa na ni nini Wana sacrifice wanapoingia katika ndoa.

Ila maamuzi niliyochukua ni kutengana na wife ninayempenda Ila ndio hivyo mapenzi hayalazimishwi pia umri wangu bado ni rika la 20's hivyo still bado takuwa na Mambo mengi ya kufanya.

Wife nishamsamehe na huyo jamaa waliefanyana nae shamsamehe nimemwachia Mungu sababu Kisasi ni cha Mungu na hata Yule mke wake nitamwonea tu.

Kuna Muda nasema Sasa wanawake watanikoma ni chapa ilale ha ha ha, daaah Ila deep down naona tawaonea tu kwa makosa ya Mtu mwingine.

Wenye ndoa ambazo hazina wachepukaji mshukuruni Sana Mungu Siku zote bila Kuchoka sababu msiba usikie tu Kwa jirani yako.

Huu mwaka nimeumaliza vibaya Ila naamini ni mwanzo mpya wenye nguvu na mwanga zaidi.

Mfurahie sikukuu hii ya Christmas.
Pole sana.
Hilo limekukuta kukufanya uwe imara zaidi. Mungu yupo nawe.
 
Mwanamke mcha mungu aliyekwenye ndoa hawezi kuzini kamwe, anaweza kuwa mchoyo na hata mgombanishi....

But sio uzinzi
 
Mwanamke mcha mungu aliyekwenye ndoa hawezi kuzini kamwe, anaweza kuwa mchoyo na hata mgombanishi....

But sio uzinzi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom