Mkuu unauhakika nipo kilwa,kwa taarifa tu nipo arushaa,na tulikuwa na mpango kama mbowe asingeachiwa tungechoma mahakama moto na hakimu angekiona cha moto! Magama siku zenu zinahesabika mkuu!nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!
muda umepotea bure na situation kama hizi two things may happen, credibility ya chama kupanda au kushuka vibaya mno!
guess what??
Mkuu hata mimi hii serikali imenishangaza. Mimi nilishasema siku nyingi kuwa kuna power vacuum katika nchi tangu 2005 na tunaishi tu kwa kudura za Mungu since then mpaka hapo tutakapo pata rais.
Kwa rais aliye makini huwezi achia nchi katika mikono ya wahuni halafu tuache ku- question siyo tu your legitimacy lakini pia kiwango chako cha busara. Kama nchi inaongozwa kirahisi hivi basi hata mtoto wa Darasa la kwanza anaweza ongoza Tanzania. Umetudhalilisha sana wananchi wako na unatutia kwenye tension kila wakati ukitutishia nyau. Unataka kuendelea ku-prove kuwa wewe ni mtu wa matani ya pwani hata katika masuala ya msingi.
Ulipojua kwamba Mbowe akifika Arusha anaachiwa kwa nini ulimkamata na kutumia gharama kubwa ya kodi za watanzania kumlisha mahabusu , kumpakia ndege na kutumia mabomu ya gharama kubwa na kupoteza mafuta kwenye magari ya doria kuzua wanamapinduzi wasifanye maandamano.
Umeitia nchi hasara pamoja na Saidi Mwema na timu yako yoote kwa kufanya maamuzi ambayo ni very primitive and rudimentary.
Umetuudhi sana JK!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Mwenyekiti Mbowe alikuwa na sababu gani iliomzuia kufika mahakamani? Mbona Dr Slaa alilimaliza hili kistaarabu?
Mkuu unauhakika nipo kilwa,kwa taarifa tu nipo arushaa,na tulikuwa na mpango kama mbowe asingeachiwa tungechoma mahakama moto na hakimu angekiona cha moto! Magama siku zenu zinahesabika mkuu!
Utekelezaji wa sheria huwa hautizami gharama wewe, na isitoshe Mbowe alipewa lifti tu kwani ndege ya serikali ilikuwa yaenda arusha , teh teh teh !
Gharama ya amani ni kubwa sana, tume sakrifaisi ili kuiweka jamii salama, Huyu ni mtu hatari sana kwa usalama wa taifa letu watumie tu hata ndege ya rais ikibidi.
Afu akakuta njiti ziko za kutosha! Hahahahaha! Aende akapeleke salam kwa hao waliomtuma kuwa A'town ni noma, hawajarbiwi na hawaogopi mafisadi. Tulijiandaa vya kutosha wana bahati.Alikuwa ana tikisa kibeliti
Mkuu unauhakika nipo kilwa,kwa taarifa tu nipo arushaa,na tulikuwa na mpango kama mbowe asingeachiwa tungechoma mahakama moto na hakimu angekiona cha moto! Magama siku zenu zinahesabika mkuu!
Kwa jinsi alivonyea debe nadhani siku nyingine dharau atapunguza
wajin** sana hao police na mahakama kwa nin waliamua kutuweka pressure juu.! Viva mpiganaji wetu Mbowe karibu tena duniani tuwashikeshike hao Magamba. Ila ndugu zangu nina wasiwac na sana na hao police huenda kuna k2 wamemfanyia Mbowe. Kama sio kuchomwa sindano ya sumu bas kupewa chakula cha sumu ili afe taratibu. Mlioko karibu na mbowe jaribuni kumwambia acheck afya kwanza kabla cngs goes bad. People's .............!!!!!!!
Mwenyekiti wa chadema ameshaachiwa na sasa watu wamembeba juu juua ..arusha
Mwenyekiti wa chadema ameshaachiwa na sasa watu wamembeba juu juua ..arusha
nani asingekaa?? msitume post hizi mkiwa kilwa, bado kama kufa wangekufa wananchi tu, in the name of politics, mtu kafanya uzembe wa kutoenda mahakamani, watu kama wewe wanarukaruka wakisema ni mpambanaji! you have to think twice!
Waleeeeeeeee waleeeeeee ona sasa yamenuna ka kitumbua. Mimacho imewatoka ka yanpiga chabo kwa jirani. Hapo ndipo utakapo jua kama CDM ndio chama cha Wananchi. Kwishnea zenu...!!!