nimegundua chadema wa jf wote pumbafu kabisa.
nchi haitakalika peoples power huku wanajfungia majumbani kwao.
wanaancha maskini wakaandamane na kupigwa bakora kama wanafunzi.
wamemuacha mwenyekiti anakunya kwenye ndoo siku mbili.
kasafirishwa kama kibaka kwenda arusha. eti arusha haitakalika.
sasa hapa mmepata nini. bora angeheshimu dhamana ya mahakama.
kuna watu hapa bora waingie choo cha kike tu ni waoga hao
I think hakutegemea haya yote!
kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.
At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!
Amedhalilishwa au wamejidhalilisha waliomkamata??? Hv kwenda jela ni kudhalilika??? Wangeendelea kumshikilia waone.
Wanafanya mambo bila kufikiri.
CCM bana watachanganyikiwa sanaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!hawajui wanaipaisha cdm bila kujua.:A S 100:
Wananiudhi viongozi wetu "wapendwa" wanapovunja sheria wanazozifahamu vizuri kuliko sisi halafu wanasubiri huruma ya watu. Muda umepotea. Kodi zetu zimetumika vibaya. Tumeacha kufanya mambo ya maana. Wala hakuna tija katika hili.
huu ni ushindi mkubwa saaaana kwa CHADEMA. magamba ur days are numbered!!!
Mwenyekiti wa chadema ameshaachiwa na sasa watu wamembeba juu juua ..arusha
I think hakutegemea haya yote!
kuna mahakimu na majaji sio wa kuwachezea kabisa!! wana misimamo mikali sana.
At least watu waone tofauti ya siasa, askari na mahakama!
Hivi kuna haja gani ya kuwa na thread tatu zinazozungumzia kitu hicho hicho? Mods mko wapi?
What you are suggesting is that government do not need to punish law breaker because after punishment the government will be a looser!!!