Emanuel Makofia
JF-Expert Member
- Jan 5, 2010
- 3,832
- 630
Hii ni dalili ya another Kikwete kuongoza hicho kijichama duh
wanena vyema! na usishangae ni staili ya madikteta kujilinda
Nchi hii ya viongozi kuachiana madaraka ka mbio za vijiti
Hii ni dalili ya another Kikwete kuongoza hicho kijichama duh
Ni kweli alikuwa Nyegezi( NSTI wakati huo). Haikuwa 1997 bali 1990. Alikuwa anasoma diploma ya Journalism. ShyRose sasa hivi atakuwa amenusa 40 au zaidi.
Masauni hakuwa chaguo la JK wala Ridhiwani. Hawa baba na mwanae walimtaka Beno Malisa, rafika wa karibu wa Ridhiwani, ili wawe wanatawala wao kupitia mgongoni. Baada ya kampeni kali kati ya kundi lao na la Hussein Bashe, ndipo ikafanyika 'compromise' na kuwaweka Malisa na Bashe wagombee u-Makamu na Masauni wa waZenji wenzake wawili wagombee Uenyekiti.
Kwenye mkutano wa uchaguzi kule Dodoma kampeni kali zilikuwa kati ya Malisa na Bashe, na waliteka wajumbe wengi. Ilikuwa wazi kuwa atakayechaguliwa kati ya Malisa na Bashe basi atakuwa anaungwa mkono na wajumbe wengi na atakuwa na nguvu kuliko Mwenyekiti wake.
Hata kwenye uongozi wake imeonekana wazi kuwa Malisa na Ridhiwani wanam-sideline 'Mwenyekiti' Masauni kwenye events, mfano ile ya Arusha.
Hivyo Masauni alichaguliwa kwa matumaini kuwa atasema 'asante Mzee Kikwete' na atakuwa 'yes man' kwa Ridhiwani. Hilo ameligomea, hivyo wameibua hoja ya umri, ambayo kwa UVCCM wengi wapunguza umri wao ili wapate madaraka ndani ya UVCCM.
Na kama kawaida yaonekana Mzee JK na Ridhiwani wanamtumia Mzee Makamba kuleta fitina...
Au kama vp turudishe ASP, vijana wawe ASPYL (ASP Youth League), na Bara iendelee na UVCCM ya Vikwete...
Nafasi zote za kuchaguliwa UVCCM ni lazima uwe chini ya miaka 35 wakati unagombea. Makamanda wa vijana wa CCM sio wajumbe wa vikao hivi.Kwani kuwa mjumbe wa UVCCM lazima uwe na vigezo gani?
Yeye anasema ni Kamanda wa vijana kama alivyo Kingunge na Pinda wiki hii kapewa nae ukamanda kwao Mpanda.
bravo kaka. yaliyotabiriwa na wenye uchungu na nchi sasa yatatimia?ni jambo la kusubiri na kuona.
Hakika quinine na muarobaini si dawa sahihi ya hii malaria sugu!!!....jamani tusaidizane dawa nyingine ipi nzuri yasije panda kichwani!!Nimjuavyo Jk Tangu achukue uenyekiti ndani ya CCM na Urais wa Tz, Mgogoro wa Uvccm uliopo sawa na gunia la usufi na sio chuma, yaani ni mwepesi kwake kuutatua, ataumaliza na utaisha salama salmin. 1) mgogoro wa SS na Lowasa and Rostam, Ameutatua 2) Zanzibar sio nchi. sasa kama hadithi, kautatua 3)tUCTA, nayo huo umeyayuka bila hata mabomu ya machozi 4)waraka wa wakatoliki na waislam. ameutatua na sasa kila kiongozi wa dini wamemkubali anaebisha asubiri wiki chache zijazo
MS,kwa nini usikishauri chama chako wabadili katiba ili kumfanya Mwenyekiti wa maisha maana uongozi wa chama atakuwa anauweza sana na hakuna linalomshinda. Utakuwa umekifanyia chama chako msaada mkubwa.Nimjuavyo Jk Tangu achukue uenyekiti ndani ya CCM na Urais wa Tz, Mgogoro wa Uvccm uliopo sawa na gunia la usufi na sio chuma, yaani ni mwepesi kwake kuutatua, ataumaliza na utaisha salama salmin.
1) mgogoro wa SS na Lowasa and Rostam, Ameutatua
2) Zanzibar sio nchi. sasa kama hadithi, kautatua
3)tUCTA, nayo huo umeyayuka bila hata mabomu ya machozi
4)waraka wa wakatoliki na waislam. ameutatua na sasa kila kiongozi wa dini wamemkubali
anaebisha asubiri wiki chache zijazo
Je ni Kweli alighushi vyeti vyake vya kuzaliwa, jamani hili si ni kosa la Jinai au. Sasa kwa nini Jeshi la Polisi lisimkamate na Kumfungulia Mashtaka
Nimjuavyo Jk Tangu achukue uenyekiti ndani ya CCM na Urais wa Tz, Mgogoro wa Uvccm uliopo sawa na gunia la usufi na sio chuma, yaani ni mwepesi kwake kuutatua, ataumaliza na utaisha salama salmin.
1) mgogoro wa SS na Lowasa and Rostam, Ameutatua
2) Zanzibar sio nchi. sasa kama hadithi, kautatua
3)tUCTA, nayo huo umeyayuka bila hata mabomu ya machozi
4)waraka wa wakatoliki na waislam. ameutatua na sasa kila kiongozi wa dini wamemkubali
anaebisha asubiri wiki chache zijazo
Nafasi zote za kuchaguliwa UVCCM ni lazima uwe chini ya miaka 35 wakati unagombea. Makamanda wa vijana wa CCM sio wajumbe wa vikao hivi.
Je ni Kweli alighushi vyeti vyake vya kuzaliwa, jamani hili si ni kosa la Jinai au. Sasa kwa nini Jeshi la Polisi lisimkamate na Kumfungulia Mashtaka