Huna uhakika kabisa na hili unalolisema. Tena kabisa! kama unategemea matokeo ya uchaguzi ujao, na bila shaka ndivyo unategemea, basi hapo ndipo umepotoka, kwani uchaguzi gani huo unaosimamiwa na NEC iliyachaguliwa na Mwenyekiti wa CCM? Wizi mtupu. Mwaka 2005 majina zaidi ya laki moja hayakuonekana katika daftari kule jimbo la Temeke peke yake, na NEC walikiri baadaye. Wengi wa wale hawakuona majina walikuwa wafuasi wa CUF, kutokana na walivyokuwa wanalalamika katika ofisi zao. WIZI mtupu.
Kwa kuwa umegusia NCCR mwaka 1995 NCCR ilihujumiwa hapa Dar na hiyo hiyo NEC kwa kutopeleka vifaa in time kimakusudi tu. (hili liliigwa ktk uchaguzi Visiwani mwaka 2000). WIZI MTUPU! Baadaye NEC ilikiri kufanyika hujuma, lakini ilikataa siyo wao. Mkoa wa Dar ulikuwa ngome ya NCCR mwaka huo. WIZI MTUPU!
Mwaka 200 mikutano ya CUF ilikuwa inapigwa mabomu ya machozi bila sababu yoyote, kionekane ni chama cha vurugu1 Woga wa CCM. WIZI MTUPU!!¬!
Tendwa kaamrishwa na JK kutoiandikisha CCJ kwa hofu ya kubwagwa! WIZI MTUPU na HUJUMA.