Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,189
- 13,728
Naomba kuuliza tu kwani kijana kwa mujibu wa UV SISI M ni miaka mingapi? na huyo Shy rose ni kijana? Ni swali tu!
Mie nimeshangaa haswa,nakumbuka back 1997 nikiwa Ngaza Secondary huyu mdada alikuwa pale Nyegezi Social (SAUTI) akisoma na alikuwa kama kwenye mid 20's,kama mpaka sasa bado ni kijana,basi tena.