Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,406
- 283,593
Leo anautaka urais wa ZanzibarWakuu kwa mujibu wa Mdau Francis Godwin kutoka Iringa mwenyekiti wa UV CCM na makamu wake wamejiuzulu jioni hii
![]()
Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Kikwete
![]()
Wajumbe wa baraza wakisikiliza kwa makini kikao cha baraza ambacho kinadaiwa kuwa moto kwa mwenyekiti wa UV-CCM Hamad Yusuph Masaun ambae ametangaza kujiuzulu usiku huu
![]()
![]()
Wajumbe wa baraza wapigwa na butwaa ukumbini
Mpenzi mdau wa mtandao huu habari hii ni kutoka ndani ya kikao hicho ambapo inadaiwa kuwa mwenyekiti wa UV-CCM taifa na makamu katibu wa UV-CCM Bw.Moyo wamejiuzulu nafasi zao ,hizo ndizo tetesi za uhakika kutoka ndani ya kikao hicho japo ukweli halisi utaupata mapema asubuhi ili kujua sababu hasa na maelezo yao kabla ya kujiuzulu kwao japo Masauni ni juu ya sakata la kudaiwa kufoji veti huku Moyo ni hatua yake ya kuendeleza makundi Visiwani
![]()
Habari hizi ni kwa msaada wa Blog ya Francis Godwin