Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Attachments

  • 1445168844755.jpg
    1445168844755.jpg
    43.5 KB · Views: 495
Ocampo four tafadhali sana wanaJF wanasubiri kwa hamu kuona picha ya mainjinia wa Ukawa wakiwa 'site' hapo Tunduma kuhakikisha vipaza na vinasa sauti vinafanya kazi asubuhi ya leo ili mgombea wenu atoe japo salamu tu.


Mr Chin pia tusaidie kupata picha hii kama inawezekana.


Masho.ga wengi walianza kama wewe.
Sishangai nikasikia Nape anaku.bandua.
 
Last edited by a moderator:
Ndio nakwambia subiri juma3 siasa zako utazipeleka wewe na kizee chako home kwake.

His excellency EDWARD NGOYAI LOWASA,the president ,and the Chief of arms of the URT.
 
Moderators wana ofisi Masaki unategemea nini sasa....

Hebu tuelezeni ukweli wa Tunduma acheni kuomba huruma ya mods....maelezo kayatoa mwenyekiti wenu kwamba mic zimegoma si lazima kuna mafundi mitambo wanafanyia kazi???

Ahadi ilikuwa mkutano ufanyike leo asubuhi mbona kimyaa??
 

Attachments

  • 1445170196776.jpg
    1445170196776.jpg
    70.9 KB · Views: 320
  • 1445170215477.jpg
    1445170215477.jpg
    34.2 KB · Views: 305
Wa kwenu ndip mshirikina namba moja.Ukitaka muulize mkewe yule teacher atakupa ya jamaa.
 
Mna hamu ya kuhamia ukawa ila sasa mtaonekanaje na waliowapa ajira ya kuandika mitandaoni
 
sababu nazani ni nyepesi saana na nyembamba za kisitsha mikutano eti "MIC" Mara mitambo. Larkin makada wengine wanapanda jukwani.
 
video zinaonyesha mzee aliingia chooni nyuma ya jukwaa mda ambao mbowe alikuwa anaongea
 
Yaani Ukawa wanakosa vyombo lakini wanataka nchi? total collapsion, hata hapo walipo wamekosa maduka ama mafundi wa kufanya matengenezo? vipi mic na jukwaa havikuleta shida Leo? Ukiwa wameliwa sana aisee ..walidhani ngoma ya wakubwa inachezwa na watoto, ona sasa.
msitufanye maboya uwezo wa helkopter upo ila wa vyombo hakuna kwikwi kwiiiiiiiii
 
Back
Top Bottom