Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,420
- 4,032
Hatuwezi kuwa na rais aliyeweka nadhiri na shetani, ndio maana kampeni zake alianzia kwa wanywa viroba hao hawana cha kupoteza
Na wa Mbeya nao Utakwama,hali ya babu ni tete
Nasikia huko Tunduma mkutano wa luwasa ni kesho...sijui atakua ameimarik afiaaaa
Yaani Ukawa wanakosa vyombo lakini wanataka nchi? total collapsion, hata hapo walipo wamekosa maduka ama mafundi wa kufanya matengenezo? vipi mic na jukwaa havikuleta shida Leo? Ukiwa wameliwa sana aisee ..walidhani ngoma ya wakubwa inachezwa na watoto, ona sasa.
Kumchaagua Lowasa yahitaji uwe na ubongo usiofikiria usiojitambua na uongozwe na mahaba yale yaliyochagizwa na limbwata lakini kwa akili ndogo tuu ya infant aliezaliwa leo hawezi kuthubutu
Mkutano wa Tunduma utafanyika kati ya kesho na Jumanne. Bado hawajaamua.
Leo asubuhi alikuwa Lupa na jioni atakuwa Mbeya.
Mkuu vipi?Hivi leo maduka hayajafungwa?
Toka zako hapa ni lowasa hakuweza kufanya tendo la kuongea. He better go home your babu.
Ocampo four tafadhali sana wanaJF wanasubiri kwa hamu kuona picha ya mainjinia wa Ukawa wakiwa 'site' hapo Tunduma kuhakikisha vipaza na vinasa sauti vinafanya kazi asubuhi ya leo ili mgombea wenu atoe japo salamu tu.
Mr Chin pia tusaidie kupata picha hii kama inawezekana.
Raisi wetu ni Edward Lowasa.hutaki hamia syria.
Live saa kumi kamili