Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hatimaye Lowassa ashindwa kuhutubia Tunduma

Hii ni daydream kila wanachopanga hakipangiki

1. wakiwa geita mkutano uliahirishwa eti hakukuwa na maandalizi ya spika nk

2 wakiwa Tunduma mkutano uliahirishwa eti spika zimeairishwa lakini mbowe akiiongea kwa spika izo watu walikua wanasikia

3 alipokua Usangi Kilimanjaro pia mkutano uliarishwa bila sababu

4 Leo matangazo ITV yamekata zikiwa zimebaki ck 6 tu.

5. sisemi yaliyomtokea chato hadi sasa ameacha gumzo aka Lowasika

sasa kama kuorganize vitu vidogo imekuwa shida ivo how about managing hili liinchi likubwa
but behind the scene inaweza kuwa sio spika ila........
BELIEVE M OR NOT THIS IS A LOST BATTLE
 
unatumia kisimbuzi gani? maana wanaotumia azam ndo tuwasubiri
 
kura yangu kwa lowasa tu. nani kakwambia yeye ni fundi mitambo. itv matangazo yamegoma yawezekana ccm ameingilia ili kitu isiwe LIVE
 
Mbowe alibugi kwa kuwaambia wapiga kura kuwa hawana akili pale alipokuwa akitoa maelezo ya kuhairishwa kwa kampeni za mgombea urais Edward Lowassa jana.
Hili lilitokea pale aliposema kuwa Lowassa inabidi aondoke kwa sababu ya mitambo kugoma ambapo wananchi walimzomea Mbowe ndipo akatoa ishara ya kuonyesha kuwa hawana akili na kudai kuwa kampeni hizo zitarudiwa leo.
Hapa amepoteza kura zingine za wapiga kura has a kwa wale wanaojielewa.
 
Hii ni daydream kila wanachopanga hakipangiki

1. wakiwa geita mkutano uliahirishwa eti hakukuwa na maandalizi ya spika nk

2 wakiwa Tunduma mkutano uliahirishwa eti spika zimeairishwa lakini mbowe akiiongea kwa spika izo watu walikua wanasikia

3 alipokua Usangi Kilimanjaro pia mkutano uliarishwa bila sababu

4 Leo matangazo ITV yamekata zikiwa zimebaki ck 6 tu.

sasa kama kuorganize vitu vidogo imekuwa shida ivo how about managing hili liinchi likubwa
but behind the scene inaweza kuwa sio spika ila........
BELIEVE M OR NOT THIS IS A LOST BATTLE
Kua CCM kusikutoe ufahamu gamba wewe.Sisi wenye akili zetu tumeangalia kupitia Azam tv.
 
Hii ni daydream kila wanachopanga hakipangiki

1. wakiwa geita mkutano uliahirishwa eti hakukuwa na maandalizi ya spika nk

2 wakiwa Tunduma mkutano uliahirishwa eti spika zimeairishwa lakini mbowe akiiongea kwa spika izo watu walikua wanasikia

3 alipokua Usangi Kilimanjaro pia mkutano uliarishwa bila sababu

4 Leo matangazo ITV yamekata zikiwa zimebaki ck 6 tu.

sasa kama kuorganize vitu vidogo imekuwa shida ivo how about managing hili liinchi likubwa
but behind the scene inaweza kuwa sio spika ila........
BELIEVE M OR NOT THIS IS A LOST BATTLE

Ukawa wanahusika na kurusha matangazo..kuna watu humu hawajui hata kuanalyze mambo.ungeangalia azam TV kama ITV haipo.kama hawajajipanga why azam onaonyesha mkutano wao?au huo sio wa ukawa??
 
Sasa mleta mada unadhani huyu jamaa ana akili kweli....alimtimua zitto....akauza jimbo la musoma kwa ccm....kamtimua Dr.Slaa.....kauza chama kwa lowassa.....ata hakikosa kura hana hasara......kesha kula za udalali na mkwewe Mtei.bivcha na wanachadema kazi kwao.
 
kuna jamaa alikua anaenda uani kujisaidia akasema anaenda ......sika

jaza mwenyewe.

kuna magufulika sabb pushuup
lowasila sabb ..... kaulize chato
 
Zama za Lowassa zimekwisha sema basi tu na kinachosumbua sahivi ni wiki hii tu make hata wao washajua ukweli wa Magufuri ...pesa imeliwa na sahivi wanalaumiana wao kwa wao
 
Hamna namna. Inabidi mwezi huu muachie nchi. Mnaogopa hata kuvunja baraza la mawaziri.
 
Back
Top Bottom