Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,708
- 4,577
Uongo tu
Kasemaje sasa!?
Uongo tu
How true or false never know its poltics
Hivyo vyombo alivyotumia Mbowe vilikuwa ni vya kwenye gari la PA.
kama unafikir afya yake siyo nzuri mpe mama yako mzazi
Mnafahamu kwanini watu fulani wanaitwa "Teja"?
Mleta uzi Maudhui ya swali lako na kutaka watu wajadili ilishaeleweka mapeeemaa ila kwa bahati mbaya umekutana na vichwa vigumu kukuelewa.
Nia yako ilikuwa hii...
Kujadili Udhaifu wa afya ya Mh Lowasa na jinsi mkutano ulivyo hairishwa kana kwamba Mheshimiwa ni mtu mkubwa so wasingeweza kusema mheshimiwa anaumwa na kazidiwa bali waseme vyombo vimeharibika.....
Imekula kwako Daaah nakuonea hadi huruma.
Lowassa juuuuuuu mpaka lkulu
Tumeshawambia miccm kama Lowasa mgonjwa basi ataenda kufia Ikulu ,yaani CCM iondoke tu ,hili halina mbadala ,tena msitegemee kama mnavyotaka ionekane kuwa Lowasa ni mgonjwa ndio mkaweka tamaa kama Maguguli atashinda ,hilo sahauni,tena nawaomba muanze kusahau tokea leo na muondoe katika vichwa vyenu kama magufuli atakuwa Raisi wa nchi hii kwa sababu Lowasa ni mgonjwa ,ili muepuke kupata maradhi ya msituko. CCM inaondoka tena inaondoka kwa aibu kuu haijawahi kutokea duniani na afrika nzima.
Kama Geita yajirudia kwa kishindo
kashindwa vipi wakati unadai vyombo vilisumbua.
kura kwa lowassa tu..
kama unafikir afya yake siyo nzuri mpe mama yako mzazi