hhahaha Rogie hajambo
Ushindwe wee mtoto wa kike. Hunijui eeeh
haufi bana!! Eti wanasema service road inapunguza jam we huoni unapumua huko? Mweeeh!
We mchepuko wangu hujambo?
sijambo babu nakuona tu unachepuka live
Wewe una akili kweli?watu wako busy wanajenga taifa wewe upo kwenye mitandao unaleta uzi wa mapenzi hasara kubwa kwa taifa!
Habari wadau!
Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.
Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.
Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?
Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.
Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!
Siku njema wapendwa!!
Habari wadau!
Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.
Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.
Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?
Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.
Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!
Siku njema wapendwa!!
Sasa ndio umeanzisha mada gani hapa? Haya ni maswala yako binafsi. Unatuingizaje katika haya mambo yako ya uzinzi? Wee unastahili kupigwa ban ya maisha hapa JF. Maana tumechoka sasa.
Wewe una akili kweli?watu wako busy wanajenga taifa wewe upo kwenye mitandao unaleta uzi wa mapenzi hasara kubwa kwa taifa!