Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Status
Not open for further replies.
...................kespersky
...................e-scan
..................norton
....................haziwezi kuondoa virus .
 
Habari wadau!

Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.

Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.

Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?

Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.

Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!

Siku njema wapendwa!!


Hainaga makombo hiyo kitu wewe, imefumuliwa na wala hutajua kama ilifumuliwa
 
Beby unakuja na usafiri gani? Ndege au basi?miezi 6 aisee huo ni msitu wa mabwepande!! Wapi Tyta picha pliiiizzz !!!
 
Last edited by a moderator:
Kisa umeamliwa na mpenzi asiyekuamini... bila kujali bughudha ya manywele hayo..... wakati yeye yuko huruuu

vitu vngne ujinga tu!! Na hali yenyewe hiyo? Mmmmmh! Huyo mwanamke naye ni noumaa! Sa si litakuwa bush...a a a! Ha ha ha!
 
Huwezi jua labda ameshalijenga taifa, au mjasiriamali kazi zinaendelea kama kawaida, au kitega uchumi kinafanya kazi yeye anakinga kila mwisho wa mwezi.

Au hapo mitandaoni labda ndo anapopata riziki,

Ngoja niishie hapa isije kuwa nafuatilia maisha ya watu kila mmoja anajua namna anavyojitafutia riziki muhimu hakuja kukubugudhi pesa ya mboga, au tatizo lolote lile basi mwache maisha yake yaendelee

Kweli taifa litaweza kuendelea kuwa na watu kama nyinyi?Machozi yananitoka kuona watz wanavyo kuwa mbuguwani,mnajaza vyoo tu hasara tupu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom