Kisa umeamliwa na mpenzi asiyekuamini... bila kujali bughudha ya manywele hayo..... wakati yeye yuko huruuu. Wapenzi kama hawa piga chini
Hebu kavae ile mawani yako. Naona macho yanakudanganya. siezi chepuka nje ya mchepuko wako wa lami.
sasa si uende tu mpaka uje utuambie huku huu ugoro wako? mnaishusha hadhi JF nyie yani ningekuwa kama mzee kifimbo cheza nyie ningewatandika sana bakora, nenda kazini upate magonjwa ya ngono halafu uje tukupe ushauri, miezi 6 umesikia chako peke yako iko? au kina password iko?
Thread of the month
Sasa we mbona uko huku huku kwenye mapenzi? Umeitwa? Watu wengine bwana. Alaaaah!!
Pono.... hahahaaa
nisaidieni kumpgia kura diamond nafanyaje?
Hili jukwaa la ujenzi wa taifa?