Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Status
Not open for further replies.

yenyewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2014
Posts
621
Reaction score
94
Habari wadau!

Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.

Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.

Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?

Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.

Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!

Siku njema wapendwa!!
 
kwani kuacha RICKROSS ndio hatatafunwa? Watu wanapiga hvohvyo tena ndio tamu balaa
 
Hbr wadau!
Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa. Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.
Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?
Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.
Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!
Siku njema wapendwa!!

Wewe una akili kweli?watu wako busy wanajenga taifa wewe upo kwenye mitandao unaleta uzi wa mapenzi hasara kubwa kwa taifa!
 
Wewe una akili kweli?watu wako busy wanajenga taifa wewe upo kwenye mitandao unaleta uzi wa mapenzi hasara kubwa kwa taifa!
Huwezi jua labda ameshalijenga taifa, au mjasiriamali kazi zinaendelea kama kawaida, au kitega uchumi kinafanya kazi yeye anakinga kila mwisho wa mwezi.

Au hapo mitandaoni labda ndo anapopata riziki,

Ngoja niishie hapa isije kuwa nafuatilia maisha ya watu kila mmoja anajua namna anavyojitafutia riziki muhimu hakuja kukubugudhi pesa ya mboga, au tatizo lolote lile basi mwache maisha yake yaendelee
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom