Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Status
Not open for further replies.
kwanza hongera na umgegede hadi aseme nataka mma badala ya maji,ila acha hiyo habari ya kusema tajuaje kama imemegwa hiyo kitu kaka inasiri nzito sana
 
Huwezi jua labda ameshalijenga taifa, au mjasiriamali kazi zinaendelea kama kawaida, au kitega uchumi kinafanya kazi yeye anakinga kila mwisho wa mwezi.

Au hapo mitandaoni labda ndo anapopata riziki,

Ngoja niishie hapa isije kuwa nafuatilia maisha ya watu kila mmoja anajua namna anavyojitafutia riziki muhimu hakuja kukubugudhi pesa ya mboga, au tatizo lolote lile basi mwache maisha yake yaendelee

Asante sana, bila shaka kaelewa
 
Beby unakuja na usafiri gani? Ndege au basi?miezi 6 aisee huo ni msitu wa mabwepande!! Wapi Tyta picha pliiiizzz !!!

Nakuja na ndege mpenzi, nisubiri air port. Na niukute huo msitu nitakupa kila kitu byb
 
Last edited by a moderator:
Kweli taifa litaweza kuendelea kuwa na watu kama nyinyi?Machozi yananitoka kuona watz wanavyo kuwa mbuguwani,mnajaza vyoo tu hasara tupu
hoya wewe Babu WEtu elewa maisha ni GEmu na kila mtu anacheza anavyojua yeye

Machozi yakutoke nini?!

Ungeanza na viongozi wako waliouza nchi kisha ndo uje kupigizana kelele na mimi.

Wewe unajaza almasi nini?
 
Daaah huyo demu anakupenda mpaka anakutumia picha za papuchi yake duuuuh wanawake mna mambo
 
Habari wadau!

Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.

Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.

Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?

Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.

Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!

Siku njema wapendwa!!

Sasa ndio umeanzisha mada gani hapa? Haya ni maswala yako binafsi. Unatuingizaje katika haya mambo yako ya uzinzi? Wee unastahili kupigwa ban ya maisha hapa JF. Maana tumechoka sasa.
 
Kweli taifa litaweza kuendelea kuwa na watu kama nyinyi?Machozi yananitoka kuona watz wanavyo kuwa mbuguwani,mnajaza vyoo tu hasara tupu

We ndo una huruma na taifa hili? Kweli una akili finyu ndugu...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom