Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Status
Not open for further replies.
Huu utoto sasa too much. Jamani!

Afadhali nilikosa vigezo vya u mods, watoa mada kama hawa ningewapoteza kama ndege ya Malaysia.

Huu nao ni mchango pia. Asante
 
ha ha haaaa itabidi asuke mabutu ili angalau kupitisha hewa... ukiuliza nini.. maagizo ya mpenzi uchwara

Mimi sio mpenzi uchwara wewe! Muulize yeye akwambie thamani yangu kwake. Tatizo hujawahi kupendwa
 
njia ambayo haijapitisha gari lazima ukutane na magugu, foleni, plus gari kuishiwa mafuta kabla hujafika uendako ukikuta ni nyeupe sana umeliwa na wajanja wenye magari mapya ya mwendokasi lol
 
njia ambayo haijapitisha gari lazima ukutane na magugu, foleni, plus gari kuishiwa mafuta kabla hujafika uendako ukikuta ni nyeupe sana umeliwa na wajanja wenye magari mapya ya mwendokasi lol

Hahahahaha ni wewe shost?Kweli uko vizuri
 
Sasa ikiwa hivi mtu kila anachofanya mtu anapost si itakuwa balaa,itafika kipind mtu atasema jamani imeingia toilet inya haitoki nishaurini
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom