Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Hatimaye leo naenda kwa baby wangu!

Status
Not open for further replies.
Bora unisaidie kumshangaa mana alichokiandika kama ni kweli hamuheshimu mpenzi wake kwa kuanika haya mambo hadharani

Hadharani? Kwani umemjua ni nani? Unaelewa maana ya hadharani?.... siku ilienda vizuri hapa lakin sasa naona mabogus yamekuja, ngoja nilale tu.
 
mapenzi pia ni ujenzi wa taifa kama huamini usipende wala usipendwe uone jinsi utakvyokuwa mpweke

Muache tu, yeye si anajiona ndo mwenye akili kumbe zero tu
 
Kwi kwi kwi kwi hahahahahahaha lol!!! Unaweza kukuta ana msitu lakini ufanyie uchunguzi wa kina msitu huo, unaweza kuwa umebandikwa kwa gundi ili kukuzuga.




Dah hiyo kali mkuu
 
Last edited by a moderator:
Hivi Mods hakuna njia yoyote ya kufuta utumbo unaoandikwa humu ili kulinda heshima ya MMU? Maana selection za A level bado na form 4 wa mwaka jana bado wapo nyumbani.

Acha kupiga kelele wewe kalale tu! Tuachie wakubwa
 
kwahiyo leo una minyege yakufa mtu??? ile kitu hata kama ilikuwa inatafunwa hainaga makombo ujue. relax ukapige mambo.
 
Mhhhh....we nenda kagegede mambo yq kufunuliwa hazinaga mita kwamba utaenda kusoma matumiz.....
 
Habari wadau!

Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.

Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.

Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?

Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.

Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!

Siku njema wapendwa!!

Daa njamaa bora wewe miez hiyo6 tu mimi wangu toka mwez wa11 sijamuona huko alipo sijui kama kuna usalama....am missn ma baby mama.....
 
Habari wadau!

Nina mpenzi wangu wa kike ambaye sijaonana nae yapata miezi sita sasa.

Hii leo nakutana naye baada ya kuwa mvumilivu kwa kipindi kirefu.

Sasa wadau nisaidieni, ule mzigo nitajuaje kama ulikuwa haufunuliwi na wajanja wa mjini?

Kwa upande wangu condition niliyompa ni kutokuwa ananyoa ile mambo mara kwa mara, na huwa nataka akae akinitumia picha ili nione kitu kipo katika hali gani.

Sina mengi ndugu zangu maana nina furaha sana leo, lakin msisahau kunambia kitu nitaigunduaje kama ilikuwa haitafunwi!

Siku njema wapendwa!!
mitandao ya kijamii inabeba uchafu jaman mmmmh
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom