jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
- Thread starter
- #161
JK anaweza kuwa anaikwepa ripoti hiyo makusudi. Kama mnavyojua bunge linaanza June 10, kwa hiyo inaweza kuwasha moto mkubwa bungeni maana mambo ya fisadi Mkapa na Yona kuhusiana na kuifisadi Kiwira Coal Mining na kuifanya ya kwao pia yamo kwenye ripoti hiyo.
Hii kamati yao haikuwa ya Bunge na i doubt itakuwa na uwezo wowote wa kisheria kwa sababu hata sijui kama waliwahoji mafisadi!
Ni ripoti zipi hizo zimeshawahi kufanyiwa kazi? Ama sasa tuamini tu?
Si ziko ripoti toka zama za Mkapa na bado zimekaliwa?
Tumuamini nani? Mh Rais?
Zitto hakujua hilo?