Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Je uzuri wa Kikwete anaouona Zitto ulianzia kabla ya Kamati ya madini kuundwa ama ni baada ya uundwaji wa kamati hiyo?
Na ni nini hasa kimetokea hapo katikati kilichoweza kubadilisha mawazo ya kijana wetu?!

Umejuaje kama Zitto ameuona uzuri wa Kikwete hadi umekuja na swali la namna hiyo?
 
Umejuaje kama Zitto ameuona uzuri wa Kikwete hadi umekuja na swali la namna hiyo?

Kwani unataka kujifanya kuwa hujui Zitto ni pro Kikwete toka awekwe kwenye Kamati iliyokuwa ikiundwa na baadhi ya mafisadi?
 
Naomba kama kuna wale wenye majina ya wanakamati wengine wayamwage majina hapa na utagundua kuwa Zitto aligned himself with FISADIS!
 
Naomba kama kuna wale wenye majina ya wanakamati wengine wayamwage majina hapa na utagundua kuwa Zitto aligned himself with FISADIS!

Unaweza hata kufanya hii research peke yako mkuu maana sidhani kama kuna mtu umemlipa kwa kazi hii.
 
ofcourse naamini kuwa time will tell!
 
Unaweza hata kufanya hii research peke yako mkuu maana sidhani kama kuna mtu umemlipa kwa kazi hii.

Naona unaanza kuingiza jazba!
Taratibu maana hapa mpaka kieleweke!
Kumbuka kuwa nimeuliza in general...Na wala sio wewe personal!
 
Mimi nauliza maswali credible!
We unafikiri kuwa mimi siipendi nchi yangu ama nina chuki na mtu?
 
Naona unaanza kuingiza jazba!
Taratibu maana hapa mpaka kieleweke!
Kumbuka kuwa nimeuliza in general...Na wala sio wewe personal!

Sio jazba.....

Unapata kile unachotaka..... Huwezi kuongea with authority kama wewe mwenyewe huna data. Huwezi kusema watu ni mafisadi kama wewe mwenyewe huna majina ya hao mafisadi.

Tafuta data mwenyewe na kisha uzimwage hapa ili kuweka nguvu kwenye hoja yako. Next.......
 
Sio jazba.....

Unapata kile unachotaka..... Huwezi kuongea with authority kama wewe mwenyewe huna data. Huwezi kusema watu ni mafisadi kama wewe mwenyewe huna majina ya hao mafisadi.

Tafuta data mwenyewe na kisha uzimwage hapa ili kuweka nguvu kwenye hoja yako. Next.......
Kwani ni siri kuwa upinzani ulijaribu kupinga baadhi ya washiriki kwenye kamati ya madini kwasababu wananuka ufisadi?
Sasa unataka kuniambia kuwa huwezi nuka SHOMBO ukifanya kazi na SAMAKI?
 
Kwani ni siri kuwa upinzani ulijaribu kupinga baadhi ya washiriki kwenye kamati ya madini kwasababu wananuka ufisadi?
Sasa unataka kuniambia kuwa huwezi nuka SHOMBO ukifanya kazi na SAMAKI?

Mimi mwenyewe ni miongoni mwa waliopinga sana kitendo cha zitto kuingia kwenye hiyo kamati ya madini. Bado naamini kuwa nilikuwa sahihi kupinga hicho kitendo na bado napinga kuunda tume ya raisi kwenye mambo ya madini.

Kitu ninachotofautiana na wewe, mimi simwombi Zitto atoe report ya hiyo tume, aliyeunda report ni Kikwete na yeye peke yake ndiye ana nguvu kisheria na kiutendaji kutoa report ya hiyo tume.
 
Kwanini sasa aliingia humo na alijua hatma za kamati za madini zilizopita?
 
Kwanini sasa aliingia humo na alijua hatma za kamati za madini zilizopita?

Aliingia humo ili kupata mambo zaidi kuliko yale yaliyokuwa yakivujishwa kwa siri. Anachojua zitto sasa hivi na mara ya mia ya kile alichojua kabla ya kuundwa kwa kamati ya madini.
 
Aliingia humo ili kupata mambo zaidi kuliko yale yaliyokuwa yakivujishwa kwa siri. Anachojua zitto sasa hivi na mara ya mia ya kile alichojua kabla ya kuundwa kwa kamati ya madini.
Sasa kwa hiyo tu assume kuwa CCM na Rais ni wajinga kwa kumuonyesha Mh Zitto mengi?
 
Sio jazba.....

Unapata kile unachotaka..... Huwezi kuongea with authority kama wewe mwenyewe huna data. Huwezi kusema watu ni mafisadi kama wewe mwenyewe huna majina ya hao mafisadi.

Tafuta data mwenyewe na kisha uzimwage hapa ili kuweka nguvu kwenye hoja yako. Next.......
Si nimeshasema niliuliza in general?
It was not a personal question!
Unless you now own JF and so you can just get rid of me!
 
Back
Top Bottom