Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hapo inabidi awe specific na hatuhitaji politics hapo!

Naomba nieleweshwe!

Na ndio maana nikasema kuwa kauli ni kanganyifu!

In several occasions, nimemsikia Zitto akisema kuwa wao walishamaliza kazi yao na kilichobakia ilikuwa ni kwa Kikwete kutoa report au kusema atafanya nini kwenye kilichopendekezwa.

Zaidi ya hapo, nitasubiria Zitto mwenyewe aeleze kama alimaanisha kuwa hii report haijakabidhiwa kwa Kikwete.
 
Hii issue ni ya taifa na ndio maana taifa zima la watanzania linamsubiria Kikwete atoe hadharani yote yaliyomo kwenye hii report.

Kama unataka Zitto atoe hii report kwa upande wake bila kumsubiria Kikwete, basi unaweza tu kusema hilo pia mkuu na Zitto akatoa majibu kwenye hilo.


Hivi tulipokuwa tukimwabia Mh Zitto atafakari kabla ya kuingia humo kamatini alifikiri nini?

Hakujua kuna consequences pale unapoingia ubia na viongozi ambao wananchi hawana imani nao?

Hatuku muuliza kuwa je ana uhakika gani kuwa this time hii report itatolewa?

Hatukupiga kelele kuwa ahakikishe kuwa kamati inapewa nguvu za kisheria kama ni ya Bunge?

Hakujua hilo?

Je yuko tayari kumtetea JK na mafisadi wengine hapa JF?
 
jmushi1,
Kama nilivyojaribu kusema hapo juu, kila kamati imalizapo kazi yake huwa inakabidhiwa kwa president. Under no circumstances should any information contained in that reprot leak out whatsoever.
Jinsi wewe unavyopressurize you'd probably end demanding to know its contents.
But one thing is for sure: the president will make it a public knowldge kwa kumtumia Pinda.
 
[/SIZE][/FONT]

Hivi tulipokuwa tukimwabia Mh Zitto atafakari kabla ya kuingia humo kamatini alifikiri nini?
Hakujua kuna consequences pale unapoingia ubia na viongozi amabo wananchi hawana imani nao?
Hatuku muuliza kuwa je ana uhakika gani kuwa this time hii report itatolewa?
Hatukupiga kelele kuwa ahakikishe kuwa kamati inapewa nguvu za kisheria kama ni ya Bunge? Hkujua hilo?
Je yuko tayari kumtetea JK na mafisadi wengine hapa JF?

Kwa upande wangu,

Naona mpira uko kwa Kikwete. Zitto ameingia kwenye hiyo kamati na amejua mengi sana (labda kuliko yale aliyojua wakati wa fukuto la Buzwagi). Kuna kipindi kifupi sana hapa kwa serikali ya Kikwete kufanya au kusema wanafanya nini kwenye hili. Muda si mrefu, itajulikana kama kuingia kwa Zitto kwenye hii kamati kumeleta manufaa au usanii kwa watanzania.

Mimi bado nahesabu chini (count down) tik tak tik tak tik tak..
 
jmushi1,
Kama nilivyojaribu kusema hapo juu, (1)kila kamati imalizapo kazi yake huwa inakabidhiwa kwa president. Under no circumstances should any information contained in that reprot leak out whatsoever.
Jinsi wewe unavyopressurize you'd probably end demanding to know its contents.
(2)But one thing is for sure: the president will make it a public knowldge kwa kumtumia Pinda.

1)Ni Ripoti za kamati ngapi zimekaliwa?

Kwani Zitto hakujua hilo?

Je hukumbuki kulikuwa na migawanyiko kuhusu uundwaji wa hizi kamati zisizokuwa na kichwa wala miguu?

Hatukumwambia Zitto kuhusu hilo?

2)Hapo kwenye namba mbili bado kuona kwasababu this will be out of our leaders characters based on our own experience!
 
Kwa upande wangu,

Naona mpira uko kwa Kikwete. Zitto ameingia kwenye hiyo kamati na amejua mengi sana (labda kuliko yale aliyojua wakati wa fukuto la Buzwagi). Kuna kipindi kifupi sana hapa kwa serikali ya Kikwete kufanya au kusema wanafanya nini kwenye hili. Muda si mrefu, itajulikana kama kuingia kwa Zitto kwenye hii kamati kumeleta manufaa au usanii kwa watanzania.

Mimi bado nahesabu chini (count down) tik tak tik tak tik tak..

MIPIRA IKO KWA WOTE!
Na ndio maana tukamuuliza kama yale aliyokuwa anafight kuhusu rasilimali zetu ndio yale yale aliyokuwa akiyasimami humo kamatini?

Ama mpaka ni ipost tena ile makala iliyopelekea yeye kusimamishwa bungeni?
 
MIPIRA IKO KWA WOTE!
Na ndio maana tukamuuliza kama yale aliyokuwa anafight kuhusu rasilimali zetu ndio yale yale aliyokuwa akiyasimami humo kamatini?

Ama mpaka ni ipost tena ile makala iliyopelekea yeye kusimamishwa bungeni?

Mkulu niko nawe katika hili na bado niko kwenye Bashing free posts for 30 days huku nikihesabu chini tik tak tik tak..
 
Tunataka tuhakikishe kuwa hakuna loop holes this time kwenye vita hivi dhidi ya ufisadi!
Tumejifunza mengi kwenye historia ya nchi yetu na mara nyingi hujirudia!

Na hatutaki Maktaim kwenye vita hivi dhidi ya mfisadi!

Daima mbele nyuma mwiko!
 
Kwa upande wangu,

Naona mpira uko kwa Kikwete. Zitto ameingia kwenye hiyo kamati na amejua mengi sana (labda kuliko yale aliyojua wakati wa fukuto la Buzwagi). Kuna kipindi kifupi sana hapa kwa serikali ya Kikwete kufanya au kusema wanafanya nini kwenye hili. Muda si mrefu, itajulikana kama kuingia kwa Zitto kwenye hii kamati kumeleta manufaa au usanii kwa watanzania.

Mimi bado nahesabu chini (count down) tik tak tik tak tik tak..

Mimi sihesabu tena ila nitakuwa na swali kila siku ipitayo kwa Mungu hapa kwenye hii thread hadi nitakaposikia something positive!

Countdown ilikwishapita sasa ni the outcome!

COUNTDOWN NI ULE MUDA WALIOPEWA KUFANYA KAZI NA KUKABIDHI RIPOTI! THIS TIME NI NINI KILICHOMO KWENYE RIPOTI HIYO AMABAYO BADO HATUJUI IKO WAPI!
Uvumilivu?!
 
Mkulu niko nawe katika hili na bado niko kwenye Bashing free posts for 30 days huku nikihesabu chini tik tak tik tak..

Usisahau thread yangu ya mtego kwa wana jf maana sijakuona pale ukilonga sister wangu! Si unajua tena wewe ni miongoni mwa waafrika wazuri wa kike hapa JF?lol!
 
Usisahau thread yangu ya mtego kwa wana jf maana sijakuona pale ukilonga sister wangu! Si unajua tena wewe ni miongoni mwa waafrika wazuri wa kike hapa JF?lol!

Nilisoma nikaona unanitega ili nianze kumbashia Kikwete na kisha members kama Kubwajinga waje kumwaga rants zao za chuki dhidi yangu kwa hiyo nikakwepa sniper fires kama Mama Clinton!
 
Nilisoma nikaona unanitega ili nianze kumbashia Kikwete na kisha members kama Kubwajinga waje kumwaga rants zao za chuki dhidi yangu kwa hiyo nikakwepa sniper fires kama Mama Clinton!

Na ndio maana sikukurupuka na kuanza kutoa lawama!

Ila naelewa wewe kama mimi na watanzania wengine tuna sifa ya uvumilivu!

Na hivyo basi ndio maana badala ya kubash hoja yako ile..

Nika onelea tu nianzishe mada ya kama kuna mtego ama la!

Mara nyingi huwa naona mbele kama vile ilivyo kwenye hili swala la Kamati ya Madini!

Tumevumilia ILA niliweka wazi toka mwanzo kabla Zitto hajajiunga na kamati hii ya Rais!

So we unadai mwezi! Unataka miezi mingapi? Ama kila siku mwezi unakuwa ni mahesabu mapya ya deadline mpya ya mwezi mpya?


Hivi hukusema kuhusu mwezi tu kila siku na sasa at least mwezi karibia upite tena? Je ni mahesabu ya mwezi mpya ama wiki mpya ama nini?

Surely there's nothing specific here! Honestly kuna maruwe ruwe!

Tusisahau kuwa sisi sote ni wanadamu na tuna udhaifu!
 
Na ndio maana sikukurupuka na kuanza kutoa lawama!

Ila naelewa wewe kama mimi na watanzania wengine tuna sifa ya uvumilivu!

Na hivyo basi ndio maana badala ya kubash hoja yako ile..

Nika onelea tu nianzishe mada ya kama kuna mtego ama la!

Mara nyingi huwa naona mbele kama vile ilivyo kwenye hili swala la Kamati ya Madini!

Tumevumilia ILA niliweka wazi toka mwanzo kabla Zitto hajajiunga na kamati hii ya Rais!

So we unadai mwezi! Unataka miezi mingapi? Ama kila siku mwezi unakuwa ni mahesabu mapya ya deadline mpya ya mwezi mpya?


Hivi hukusema kuhusu mwezi tu kila siku na sasa at least mwezi karibia upite tena? Je ni mahesabu ya mwezi mpya ama wiki mpya ama nini?

Surely there's nothing specific here! Honestly kuna maruwe ruwe!

Tusisahau kuwa sisi sote ni wanadamu na tuna udhaifu!

Mwezi mmoja kuanzia (May 7th 2008)...... So far, siku tano zimekwenda na hesabu inaendelea....
 
Countdown imeanza lini?

Na tunakaunti on what bases?

Si kamati ilipewa muda na sisi ndio tukasema we're now counting down?

Muda si ulikwisha?

Na kama Zitto alijua kuwa atamsingizia rais kuwa ndiye mwenye kushikilia ripoti na hivyo kukwepa lawama za wanyonge then...Kwanini alikubali kuingia huko kwenye kamati ya mafisadi?

Alikuwa ana uhakika gani kuwa kamati hii mpya itakuwa tofauti na zile zilizopita ambazo bado zimekaliwa na rasilimali zetu pamoja na taifa letu bado vinabakwa?

Sasa kaunti dauni ziko ngapi?
 
May 7th ndio siku waliyokabidhi ripoti AMA ndio siku uliyoamua kuweka coutdown starting date?

May 7th ni siku yangu tu niliyocreate out of the big fat greek blue ili kuanza kazi hii kwa kasi ari na nguvu mpya baada ya huo muda kupita. Kumbuka pia kuwa mitihani kwenye colleges nyingi za USA ilianza May 7th so I was giving myself a breathing room.

Otherwise, hii thread itakuwa hapa juu kila siku mpaka siku ile Kikwete akitoa report ambayo ameshapewa tayari na kina Zitto ili kujua nini kinafuatia baada ya yote yaliyotokea. Huu ni mtizamo wangu binafsi katika hili ..........
 
May 7th ni siku yangu tu niliyocreate out of the big fat greek blue ili kuanza kazi hii kwa kasi ari na nguvu mpya baada ya huo muda kupita. Kumbuka pia kuwa mitihani kwenye colleges nyingi za USA ilianza May 7th so I was giving myself a breathing room.

Otherwise, hii thread itakuwa hapa juu kila siku mpaka siku ile Kikwete akitoa report ambayo ameshapewa tayari na kina Zitto ili kujua nini kinafuatia baada ya yote yaliyotokea. Huu ni mtizamo wangu binafsi katika hili ..........

Kwanza pole kwa masomo!

Hata mimi nilikuwa pia busy na masomo na sasa niko kwenye hii summer break.

Nitaendelea na kozi kadhaa wakati wa summer ili kuweza kumalizia masomo yangu mapema zaidi hence kwenda kutoa msaada wa kampeni 2010 huko bongo kwa wale nitakaoona kuwa ni wazalendo wa kweli.

Hata hivyo sasa hivi nina muda wa kumake follow up zaidi ya before kwasababu ya hii summer break.

I understand your concern and there's nothing that i see is wrong with that!

However i am deeply concerned about our leaders that comes out the way they do and ending up the way the've always been doing!

The likes of our other firebrand political leaders who captured the hearts of wanyonge but nevertheless later on do nothing but... FORSAKE THEM!

THE LIKES OF KIKWETE..THE LIKES OF ZITTO!

I am just hoping thats not the case this time around and i am honestly going to be very dissapointed not to have patriotic leaders at this defining moment and time in the History of our counrty! The likes of Kaborou, Marando and many more!

Hivyo basi kutokana na hayo..I have chosen to be tough on Zitto this time around!

Kama kweli aliyakataa maslahi yake bungeni kwasababu ya wanachi, then..Kwanini aliyakubali maslahi ya kamati? Je shughuli za kamatini ni bora kuliko za bunge ambalo ni la Taifa na lenye kuserve maslahi ya wananchi better than a single person or a group of people this time around..Zitto, kamati na Rais?

Haya...Je marupurupu hayo ya bungeni na kamatini yapi yalikuwa makubwa?
Kama nikiweza kujua kuwa kati ya mafao ya bungeni na yale ya kamatini yapi ni mengi... Then i can understand kuwa this man is trully MZALENDO na kwamba haikuwa janja ya kujijengea mazingira mazuri zaidi ya... MASLAHI ZAIDI!?

NA KAMA HAYO MAFAO YA KAMATINI NI MENGI KULIKO YA BUNGENI..THEN MASWALI TAKUWA MENGI HAPA!
 
TUNATAKA RIPOTI NA MAFISADI WAKAMATWE!

HAKUNA NEUTRAL GROUND PALE INAPOKUJA KWA MASLAHI YA TAIFA!
 
JK anaweza kuwa anaikwepa ripoti hiyo makusudi. Kama mnavyojua bunge linaanza June 10, kwa hiyo inaweza kuwasha moto mkubwa bungeni maana mambo ya fisadi Mkapa na Yona kuhusiana na kuifisadi Kiwira Coal Mining na kuifanya ya kwao pia yamo kwenye ripoti hiyo.
 
Mushi,
Niliwahi kuonya hapa mtandaoni kuwa hizi safari-safari anazopewa Zitto zinaweza zikawa zimefungiwa ndoana kumnasa mheshimiwa. Tokea amalizane na kamati ya madini, Mh. Zitto amekuwa kimya sana. Kuna wabunge wengi vijana tulio nao sijui US embassy walitumia kigezo gani ili kumpata Zitto kuja training USA. Natumaini ninayosema sio utabiri wa kweli maana kama ikawa kweli, itawafadhaisha sana vijana wengi.

Kumbe siko mwenyewe kwenye hili!
 
Back
Top Bottom