Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hayo mambo yananikumbusha nilipokuwa shule...kulikuwa na huyu headmaster,jamaa alikuwa kichwa sana na liberal.....kama mnakumbuka enzi za JKN walimu wakuu wengi walipelekwa kivukoni kupigwa msasa.

Huyu mwalimu alirudi kabadilika sana aka badilisha ratiba, sijui ile siasa ya ujamaa na kujitegemea alielewa vibaya...ikawa muda mwingi wa mchana wanafunzi tunaenda kulima na vipindi darasani vikafupishwa.

Sasa ile sababu ya kwenda kusoma ikabadilishwa kuwa kulima......sasa naona inatokea hapa, baada ya MushiJ na MWK kupotea muda mrefu mmekuja mmeacha kuongelea mada imekuwa mambo ni kubishana.... hii imekuwa nip and tuck.

Salva,balozi (sijui jina lake) na wengineo wamekaa Ghymkana club wanacheka sana......pls tusiwape wazembe faida hapa lengo ni kumkoma nyani gladi......

MKuu kama nimekuelewa vizuri,

Unashauri kuwa tuache kupambana na wana JF na badala yake tupambane na mafisadi wa serikalini? Si ndio?
 
Mteja wako yeye ni mpotoshaji...

Hivyo basi kuniita msanii kisa Mwanakijiji na Mimi au FMES na Mimi au Bin Maryam na Mimi tunashabihiana hoja si haki ni uzandiki!

Mbona pamoja na kuwa Kungwi na Wakili kwa Mushi sijakuita jina na kukuweka katika "mtandao" maalum?

1) Naomba uthibitishe kwa kuonyesha hundi za Mushi kwa Kuhani, vinginevyo futa dai la kwamba Mushi ni mteja wangu.

2) Wewe hutakiwi kusema mimi nimekuita msanii kisa " kisa Mwanakijiji na Mimi ...na Bin Maryam tunashabihiana. Unapendezesha usanii ulioufanya uonekane ni mzuri mzuri." Hizo ni mbinu za kina Mukadam!

Usanii uliofanya ni kuchora picha ya undugu hapa wakati wajua fika kuna kejeli na dhihaka na uzandiki na ufidhuli unaendelea kati ya 'ndugu wa JF.'

Niulize mimi nikwambie kwa nini wewe msanii. Usijichoree picha mwenyewe zenye frame za mninga kumbe kwa karibu hazipendezi
 
Sidhani kama mambo muhimu ya nchi yetu ni kuingia msituni na kutaka kumwaga damu ya watanzania kama unavyoshauri wewe hapa mtandaoni.

Mambo muhimu ndiyo haya hapa ya kuchambua kati ya mchele na chuya!
 
Basi bana..Mimi ngoja nichukue likizo niwaachie wapiganaji wengine maana MCHUNGAJI AMETISHIA KUJITOA JF kwasababu yangu!

Siwezi kushindana na wewe kwa influence hapa jf!
Kwahiyo kama hamtaki nichangie hapa jf...Then munieleze mimi nitajitoa kabla hamjafanya hivyo kwani sina nia mbaya na jf!


MCHUNGAJI GANI WEWE UNAWATISHA MAMODS WANIFUNGIE LA SIVYO UTAJITOA?

Sijaona ulikoambiwa kuwa usichangie hapa.

1. Katika issue ya Kinyaga ulishauri kuacha kuchafua watu wasio na hatia..

Kitu ambacho kilithibitika kuwa ulikuwa unakosea kwa kuwaita watu wasio na hatia kuwa ni mafisadi na kwa sasa umewaletea matatizo makubwa sana ya kimaisha na kikazi.

Kubali kushauriwa maana wewe si MUNGU na unaweza kukosea. Ukishauri, poa kidogo na ufanya analysis ya kile unachoambiwa. Sio kila anayekushauri ana nia mbaya na wewe.

2. Katika issue ya kumwaga damu ulishauriwa ila hukusikia

Matokeo yake bado nasubiria jibu lako

3. Kwenye issue ya flooding

Ulikuwa tu unakumbusha sheria za JF.

Ukipenda kufuata ushauri fuata ila ukianza mambo ya kuchafua jamvi na kutaka kumwaga damu Tanzania basi utapewa dozi the JF style.
 
Hayo mambo yananikumbusha nilipokuwa shule...kulikuwa na huyu headmaster,jamaa alikuwa kichwa sana na liberal.....kama mnakumbuka enzi za JKN walimu wakuu wengi walipelekwa kivukoni kupigwa msasa.

Huyu mwalimu alirudi kabadilika sana aka badilisha ratiba, sijui ile siasa ya ujamaa na kujitegemea alielewa vibaya...ikawa muda mwingi wa mchana wanafunzi tunaenda kulima na vipindi darasani vikafupishwa.

Sasa ile sababu ya kwenda kusoma ikabadilishwa kuwa kulima......sasa naona inatokea hapa, baada ya MushiJ na MWK kupotea muda mrefu mmekuja mmeacha kuongelea mada imekuwa mambo ni kubishana.... hii imekuwa nip and tuck.

Salva,balozi (sijui jina lake) na wengineo wamekaa Ghymkana club wanacheka sana......pls tusiwape wazembe faida hapa lengo ni kumkoma nyani gladi......

MWANATANU kuwa specific pls....Ni wapi hapo nilipoenda personal?
 
1) Naomba uthibitishe kwa kuonyesha hundi za Mushi kwa Kuhani, vinginevyo futa dai la kwamba Mushi ni mteja wangu.

2) Wewe hutakiwi kusema mimi nimekuita msanii kisa " kisa Mwanakijiji na Mimi ...na Bin Maryam tunashabihiana. Unapendezesha usanii ulioufanya uonekane ni mzuri mzuri." Hizo ni mbinu za kina Mukadam!

Usanii uliofanya ni kuchora picha ya undugu hapa wakati wajua fika kuna kejeli na dhihaka na uzandiki na ufidhuli unaendelea kati ya 'ndugu wa JF.'

Niulize mimi nikwambie kwa nini wewe msanii. Usijichoree picha mwenyewe zenye frame za mninga kumbe kwa karibu hazipendezi

Sio lazima kuwe na hundi ili kuthibitisha kuwa yeye ni mteja wako, inawezekana unafanya kazi pro-bono.. who knows?
 
Sijaona ulikoambiwa kuwa usichangie hapa.

1. Katika issue ya Kinyaga ulishauri kuacha kuchafua watu wasio na hatia..

Kitu ambacho kilithibitika kuwa ulikuwa unakosea kwa kuwaita watu wasio na hatia kuwa ni mafisadi na kwa sasa umewaletea matatizo makubwa sana ya kimaisha na kikazi.

Kubali kushauriwa maana wewe si MUNGU na unaweza kukosea. Ukishauri, poa kidogo na ufanya analysis ya kile unachoambiwa. Sio kila anayekushauri ana nia mbaya na wewe.

2. Katika issue ya kumwaga damu ulishauriwa ila hukusikia

Matokeo yake bado nasubiria jibu lako

3. Kwenye issue ya flooding

Ulikuwa tu unakumbusha sheria za JF.

Ukipenda kufuata ushauri fuata ila ukianza mambo ya kuchafua jamvi na kutaka kumwaga damu Tanzania basi utapewa dozi the JF style.

Nilikuwa kwenye uchunguzi wangu binafsi kwa manufaa ya TAIFA!

Sasa nimeshagundua CHEZO LOTE NA MIMI NIMESHAJIPANGA NA KWA UWEZO WA MUNGU KUNA WAZALENDO TUKO PAMOJA WALIOPIGANA KIUME BAADA YA Kufungiwa kwangu mara baada ya wao kuupokea msamaha wangu!

MODS KAMA MWK ANAENDELEZA HAYA...BASI IFUNGUENI ILE THREAD MLIOIFUNGA ILIYOKUWA IKIENDELEZA MJADALA KAMA HUU anaojaribu kuuleta hapa!

KUKAA KWENU KIMNYA KUTAPELEKEA THREAD HII KUFUNGWA!
 
Sijaona ulikoambiwa kuwa usichangie hapa.

1. Katika issue ya Kinyaga ulishauri kuacha kuchafua watu wasio na hatia..

Kitu ambacho kilithibitika kuwa ulikuwa unakosea kwa kuwaita watu wasio na hatia kuwa ni mafisadi na kwa sasa umewaletea matatizo makubwa sana ya kimaisha na kikazi.

Kubali kushauriwa maana wewe si MUNGU na unaweza kukosea. Ukishauri, poa kidogo na ufanya analysis ya kile unachoambiwa. Sio kila anayekushauri ana nia mbaya na wewe.

2. Katika issue ya kumwaga damu ulishauriwa ila hukusikia

Matokeo yake bado nasubiria jibu lako

3. Kwenye issue ya flooding

Ulikuwa tu unakumbusha sheria za JF.

Ukipenda kufuata ushauri fuata ila ukianza mambo ya kuchafua jamvi na kutaka kumwaga damu Tanzania basi utapewa dozi the JF style.

Bring it on.
 
mie ni ndugu yako nambari wani....ukiandika lazima nisome, kwikwikwikwi siri ya a good student!!
tunaweza kukubaliana juu ya matatizo ya Mushi, tofauti ipo ktk jinsi ya baadhi ya watu wanavyotaka kudili nae!! kama hili likiachiwa jinsi ya lile la Mchambuzi lilivyoachwa tutajenga bad precedence dhidi ya memba ambao hatukubaliani nao kihoja na style ya presentation....kimsingi hicho ndicho kisa hasa cha msimamo wangu ktk suala la Mushi.

Kukubaliana na kutokualiana...Haya mjadala uanze...Iddi Simba...
 
mie ni ndugu yako nambari wani....ukiandika lazima nisome, kwikwikwikwi siri ya a good student!!
tunaweza kukubaliana juu ya matatizo ya Mushi, tofauti ipo ktk jinsi ya baadhi ya watu wanavyotaka kudili nae!! kama hili likiachiwa jinsi ya lile la Mchambuzi lilivyoachwa tutajenga bad precedence dhidi ya memba ambao hatukubaliani nao kihoja na style ya presentation....kimsingi hicho ndicho kisa hasa cha msimamo wangu ktk suala la Mushi.

I hope wewe na wenzako hamtagang up against me kimchambuzi style.....lol
 
Nilikuwa kwenye uchunguzi wangu binafsi kwa manufaa ya TAIFA!

Sasa nimeshagundua CHEZO LOTE NA MIMI NIMESHAJIPANGA NA KWA UWEZO WA MUNGU KUNA WAZALENDO TUKO PAMOJA WALIOPIGANA KIUME BAADA YA Kufungiwa kwangu mara baada ya wao kuupokea msamaha wangu!

MODS KAMA MWK ANAENDELEZA HAYA...BASI IFUNGUENI ILE THREAD MLIOIFUNGA ILIYOKUWA IKIENDELEZA MJADALA KAMA HUU anaojaribu kuuleta hapa!

KUKAA KWENU KIMNYA KUTAPELEKEA THREAD HII KUFUNGWA!

Naona sasa unatishana na MODS!

Mushi hoja hujibiwa kwa hoja na sio vitisho! kama unataka kuleta fujo tena basi ujue uko peke yako kwenye fujo. Nitakusubiri ukimaliza vitisho na fujo zako na nitakuuliza the same question.
 
Jamani turudi kwenye mjadala...TAIFA LINATUHITAJI BANDUGU!
 
Naona sasa unatishana na MODS!

Mushi hoja hujibiwa kwa hoja na sio vitisho! kama unataka kuleta fujo tena basi ujue uko peke yako kwenye fujo. Nitakusubiri ukimaliza vitisho na fujo zako na nitakuuliza the same question.

Mchungaji amesema ata resign jf kama Kuhani akiendelea kumtetea mteja wake!
Mods wanaweza kuogopa kwasababu amewatingishia kiberiti!
 
Nimekubali!

Ha haaaaaaa haaaaaaaaaaaa!

Ndi maana nakupenda!

Angalau wewe unanipenda mkuu. Asante kwa hili maana naona kuna mtu hapo juu ameanza kuwatisha mods kuwa wasipofanya anachotaka basi hii thread itafungwa, sijui amepanga kufanya nini....

Sijui ndio kuingia msituni huko...mimi yangu macho tu sasa.
 
Ubishi uliosababisha ile thread ikafungwa ndio ule ule unaouleta hapa..Sasa una uhakika gani hautaki na hii thread isifungwe?
Ie nyingine ilifungwa mara baada ya wewe kusupport matusi personal ya FMES.
 
Ubishi uliosababisha ile thread ikafungwa ndio ule ule unaouleta hapa..Sasa una uhakika gani hautaki na hii thread isifungwe?
Ie nyingine ilifungwa mara baada ya wewe kusupport matusi personal ya FMES.

MKuu vitisho kuwa hii threads itafungwa umevitoa wewe, bado nasubiria kuona utaifunga vipi maana baada ya kutishia kumwaga damu ya watanzania sikuamini kabisaaaaa.
 
Back
Top Bottom