Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

ahaa haa,

Kama wote wenye kutumia obscenity wana mtandao wao basi inaonekana ni mtandao mkubwa sana.....

Kuhani, inabidi unipe mashariti ya kujiunga na mtandao wenu (kama hauna obscenity)....lol wakati nikisubiria Mushi ajibu swali langu la kwa nini alitaka kwenda msituni ili kumwaga damu Tanzania.

Usije kwenye daraja la wasiokuwa JF Mtandao, maana huku pia tunatumia obscenity.

Tofauti, JF Mtandao wanatumia obscenity with impunity sisi tunatumia obscenity with consequences.

Jibu swali: Kwa nini Mushi ajibu kuhusu kwenda msituni wakati kesha tubu?

Hivi unajua Mushi akifungiwa tena utasikitika sana Mwafrika wa Kike. Hivi unajua unarusha low blow ile kinoma?

You know what, you will never know how it feels anyway! Ha ahaaaaaa ha!
 
Japokuwa umemrushia Mushi low blows, wewe haupo katika JF Mtandao. Sijaona unarusha obscenity hata siku moja, isipokuwa ukiwa unapelekana na mtu kimzaha mzaha.

Lakini una ndugu yako ambaye yumo. You know it! Ha ha haaaa! You know it.

I mean, it's no big secret.

Watu wote JF ni ndugu zangu, awe Nyangumi, Koba, Msanii, Mtanzania, FMES, Mtu wa Pwani, FD, Kuhani, Kubwajinga, Mwafrika wa Kike, Susuviri, Nyani Ngabu, Steve D, Kichuguu, Bi Kirembwe, Mushi, Kibunango, Sam, Yournameismine na wengine wote.
 
Usije kwenye darala la wasiokuwa JF Mtandao, maana huku pia tunatumia obscenity.

Tofauti, JF Mtandao wanatumia obscenity with impunity sisi tunatumia obscenity with consequences.

Jibu swali: Kwa nini Mushi ajibu kuhusu kwenda msituni wakati kesha tubu?

Hivi unajua Mushi akifungiwa tena utasikitika sana Mwafrika wa Kike. Hivi unajua unarusha low blow ile kinoma?

You know what, you will never know how it feels anyway! Ha ahaaaaaa ha
!

Ukiweza kusoma posts zangu za kwanza hapa JF (kwenye archive ya JF), utagundua mengi sana niliyopitia kabla watu wewe kudhani kuwa niko kwenye mtandao ambao ni wa nadharia mkuu.

Tofauti yangu na wengi hapa, mimi sikuwa naanzisha mada za kulialia kuwa ninaonewa au kuwaita wale niliwakuta hapa kuwa ni wana mtandao.

Sina sababu ya kutaka Mushi afungiwe. Yeye aheshimu tu rules za JF na kama akifungiwa nitakuwa mtu wa kwanza hapa kupiga makelele.

Kwa sasa nataka tu kujua ni ya wito wake wa kutaka watu waende msituni ili kumwaga damu Tanzania.
 
Watu wote JF ni ndugu zangu, awe Nyangumi, Koba, Msanii, Mtanzania, FMES, Mtu wa Pwani, FD, Kuhani, Kubwajinga, Mwafrika wa Kike, Susuviri, Nyani Ngabu, Steve D, Kichuguu, Bi Kirembwe, Mushi, Kibunango, Sam, Yournameismine na wengine wote.

Kweli tupu.

Kuna wengine ni ndugu zaidi kati ya walio ndugu!

Unajua hata Katiba ya Marekani ilikuwa inasema hayo maneno yako walipotuiba kutulimisha tumbaku na mahindi bila malipo, Virginia ya 1776?

Mchungaji acha usanii.
 
..ni issue ya perception(s) tu, sawa na wewe unavyong'ng'ania kwa msisitizo kwamba Mushi anataka kuingia msituni kuua WaTz!!! huna ushahidi juu na hilo na kwa maana hiyo basi mie na haki ya kusema kwamba kuna team inayofanya niliyoyasema juu ya Mushi......kimsingi mnabomoa pattela zale ili ashindwe kutembea!! hii ni fair argument.

Mushi anajibomoa mwenyewe. Haya ni maneno yake mwenyewe nayatumia tu hapa. Ukiona kuwa ni yeye anataka kubomolewa na sio kwamba ni yeye ndie anataka kubomoa watu wengine kama Zitto au members wengine hapa, basi sitashangaa ukidhania kuwa kuna timu ya kumbomoa Mushi.
 
Kwasababu ule "unga unga" Ni wa kichawi...Tukisema mafisadi wamesharoga mtabisha?
 
Kweli tupu.

Kuna wengine ni ndugu zaidi kati ya walio ndugu!

Unajua hata Katiba ya Marekani ilikuwa inasema hayo maneno yako wakati wanatulimisha tumbaku na mahindi bila malipo, Virginia ya 1776?

Mchungaji acha usanii.

kwi kwi kwi kwi,

Kuhani sasa unanivunja mbavu.
 
Tusubiri ripoti ya uchunguzi ya polisi kwasababu kauli za hao viongozi mnaowatetea zinatia mashaka kwani wanaonekana wakali wakati wanachosema ni uji tu ama MAJI TAKA!
 
Tatizo watu wanachukia pale tunapoweka wazi connection ya Killango-Kikwete-Zitto-Simba-ccm-EPA-UFISADI.
 
Tusubiri ripoti ya uchunguzi ya polisi kwasababu kauli za hao viongozi mnaowatetea zinatia mashaka kwani wanaonekana wakali wakati wanachosema ni uji tu ama MAJI TAKA!

JMushi hataki kuwa defocused!

Tremendous job JMushi.

Talk about moving forward! Ha ha!

Nakoma na wewe Mushi leo!
 
Kweli tupu.

Kuna wengine ni ndugu zaidi kati ya walio ndugu!

Unajua hata Katiba ya Marekani ilikuwa inasema hayo maneno yako walipotuiba kutulimisha tumbaku na mahindi bila malipo, Virginia ya 1776?

Mchungaji acha usanii.

Mshanipachika Ufisadi sasa mnaniita Msanii? kisa yake ni kitu gani? Nimemuibia nani? ni nani ndugu yangu zaidi? kuwa na msimamo mmoja na mtu hakuna maana basi udugu ni zaidi wa yule mnaepingana.

Mfano, Mwafrika wa Kike, Engineer Mohamed, YNIM (na hata Mushi) hatukona kwa jicho moja lile suala la UDSM na Mukandala. Kulikuwa na zaidi ya kurasa 6 za majibishano makali na kuishia kukubaliana kukaa pande mbili tofauti.

Msimamo wangu ulikuwa ni mmoja pamoja na kutukanwa na mteja wako Mushi kuwa mimi ni Fisadi na out of touch kwa kulaani vityendo vya fujo vya wanafunzi.

Kuna mambo ambayo mimi na wewe tumeona kwa jicho moja na mengine kwa macho tofauti, same thing with Mwanakijiji, Kitila, FMES, Nyani, Bin Maryam na Mkandara.

Lakini bottom line ni respect na kuacha upotoshaji.

Mteja wako yeye ni mpotoshaji na hachelewi kuzushia jambo akishindwa kujibu hoja. Wengi wetu tu karibu kung'atuka na kuanza kula pensheni na mrithi wetu ambaye ni mteja wako, hapikiki!

Hivyo basi kuniita msanii kisa Mwanakijiji na Mimi au FMES na Mimi au Bin Maryam na Mimi tunashabihiana hoja si haki ni uzandiki!

Mbona pamoja na kuwa Kungwi na Wakili kwa Mushi sijakuita jina na kukuweka katika "mtandao" maalum?
 
JMushi hataki kuwa defocused!

Tremendous job JMushi.

Talk about moving forward! Ha ha!

Nakoma na wewe Mushi leo!

Mwenzako kashikwa pabaya, kutaka kumwaga damu ya watanzania sio kitu cha mchezo. Utaona anarudia rudia posting zile zile kwenye kila thread na kufanya flooding maana hana jipya kwa sasa baada ya ufisadi wake kuwekwa wazi bayana haya JF siku ya jumapili tarehe 22 ya mwezi wa sita - 2008.

Yangu macho tu na muda nikisubiria kupata jibu toka kwa fisadi mwenye nia mbaya na JF - Jmushi1
 
Pamoja na kusema kuwa mtaingia msituni ili kumwaga damu ya watanzania kwa vile maneno yenu hayasikilizwi.

Ni wazi sasa yanasikilizwa!
Tatizo mnadharau sana!
Mgesikiliza maneno ya hawa wazalendo wanaojaribu kukupa ushauri basi ungerudi kwenye fair and just discussion on the Most important matters facing our dear Nation.
 
Mshanipachika Ufisadi sasa mnaniita Msanii? kisa yake ni kitu gani? Nimemuibia nani? ni nani ndugu yangu zaidi? kuwa na msimamo mmoja na mtu hakuna maana basi udugu ni zaidi wa yule mnaepingana.

Mfano, Mwafrika wa Kike, Engineer Mohamed, YNIM (na hata Mushi) hatukona kwa jicho moja lile suala la UDSM na Mukandala. Kulikuwa na zaidi ya kurasa 6 za majibishano makali na kuishia kukubaliana kukaa pande mbili tofauti.

Msimamo wangu ulikuwa ni mmoja pamoja na kutukanwa na mteja wako Mushi kuwa mimi ni Fisadi na out of touch kwa kulaani vityendo vya fujo vya wanafunzi.

Kuna mambo ambayo mimi na wewe tumeona kwa jicho moja na mengine kwa macho tofauti, same thing with Mwanakijiji, Kitila, FMES, Nyani, Bin Maryam na Mkandara.

Lakini bottom line ni respect na kuacha upotoshaji.

Mteja wako yeye ni mpotoshaji na hachelewi kuzushia jambo akishindwa kujibu hoja. Wengi wetu tu karibu kung'atuka na kuanza kula pensheni na mrithi wetu ambaye ni mteja wako, hapikiki!

Hivyo basi kuniita msanii kisa Mwanakijiji na Mimi au FMES na Mimi au Bin Maryam na Mimi tunashabihiana hoja si haki ni uzandiki!

Mbona pamoja na kuwa Kungwi na Wakili kwa Mushi sijakuita jina na kukuweka katika "mtandao" maalum?

Haya ni maswali magumu sana kwa baadhi ya watu mchungaji.

Wao wakiona kuwa watu wamefanana mawazo basi tayari kwao hao watu wana mtandao bila kujali wao tayari wanaendeleza huo huo mtandao wanaoupinga.
 
sijakurushia jab tokana na historia au kwasababu tu wewe ni MWK....nafanya hivi nifanyavyo kwasababu na amini kwamba Mushi umtendei haki, na kwa bahati mbaya mpo wengi wa dizaini hiyo!! kwani ilikuwaje mpaka Mchambuzi aka-quit? mli-gang up against yeye akaamua ku-pull "Tsivangirai"..LOL sijui nani kamwiga mwenzie, maana inaweza kuwa Tsivangirai ka-pull "Mchambizi." Point hapa ni kwamba, kukimbiza watu nje ya mjadala au forum haisaidii kitu chochote zaidi ya kudhoofisha democrsia na kuwa na mawazo ya upande mmoja!

Kwa hiyo ni fair nikisema kuwa wewe, kuhani, hollo, Mushi, Mama na wengine mme-gang up against mimi? Je nia yenu ni kutoka niondoke au mnataka kudhoofisha demokrasia?

Kama unafikiria kuhusu jibu langu la swali hilo hapo juu, mimi sidhani kama nyie mmegang up against mimi. Ninajiona kama mtu ambaye nimetofautiana na "kundi la watu" na ninawajibu accordingly bila kulia lia wala kusema kuna mna mtandao.

kuendelea kwako na suala la Msituni, kunaweka question mark ktk nia yako juu ya hatma ya mjadala huu na ile ya Mushi.........nadhani una recycle vitu ambavyo havipo recycled!!

Inaonekana hata husomi anachoandika Mushi ili kujua kama kuna recycle inafanyika hapa kwa kiwango kikubwa au kidogo kiasi gani.
 
Hayo mambo yananikumbusha nilipokuwa shule...kulikuwa na huyu headmaster,jamaa alikuwa kichwa sana na liberal.....kama mnakumbuka enzi za JKN walimu wakuu wengi walipelekwa kivukoni kupigwa msasa.

Huyu mwalimu alirudi kabadilika sana aka badilisha ratiba, sijui ile siasa ya ujamaa na kujitegemea alielewa vibaya...ikawa muda mwingi wa mchana wanafunzi tunaenda kulima na vipindi darasani vikafupishwa.

Sasa ile sababu ya kwenda kusoma ikabadilishwa kuwa kulima......sasa naona inatokea hapa, baada ya MushiJ na MWK kupotea muda mrefu mmekuja mmeacha kuongelea mada imekuwa mambo ni kubishana.... hii imekuwa nip and tuck.

Salva,balozi (sijui jina lake) na wengineo wamekaa Ghymkana club wanacheka sana......pls tusiwape wazembe faida hapa lengo ni kumkoma nyani gladi......
 
Mshanipachika Ufisadi sasa mnaniita Msanii? kisa yake ni kitu gani? Nimemuibia nani? ni nani ndugu yangu zaidi? kuwa na msimamo mmoja na mtu hakuna maana basi udugu ni zaidi wa yule mnaepingana.

Mfano, Mwafrika wa Kike, Engineer Mohamed, YNIM (na hata Mushi) hatukona kwa jicho moja lile suala la UDSM na Mukandala. Kulikuwa na zaidi ya kurasa 6 za majibishano makali na kuishia kukubaliana kukaa pande mbili tofauti.

Msimamo wangu ulikuwa ni mmoja pamoja na kutukanwa na mteja wako Mushi kuwa mimi ni Fisadi na out of touch kwa kulaani vityendo vya fujo vya wanafunzi.

Kuna mambo ambayo mimi na wewe tumeona kwa jicho moja na mengine kwa macho tofauti, same thing with Mwanakijiji, Kitila, FMES, Nyani, Bin Maryam na Mkandara.

Lakini bottom line ni respect na kuacha upotoshaji.

Mteja wako yeye ni mpotoshaji na hachelewi kuzushia jambo akishindwa kujibu hoja. Wengi wetu tu karibu kung'atuka na kuanza kula pensheni na mrithi wetu ambaye ni mteja wako, hapikiki!

Hivyo basi kuniita msanii kisa Mwanakijiji na Mimi au FMES na Mimi au Bin Maryam na Mimi tunashabihiana hoja si haki ni uzandiki!

Mbona pamoja na kuwa Kungwi na Wakili kwa Mushi sijakuita jina na kukuweka katika "mtandao" maalum?

Basi bana..Mimi ngoja nichukue likizo niwaachie wapiganaji wengine maana MCHUNGAJI AMETISHIA KUJITOA JF kwasababu yangu!
Siwezi kushindana na wewe kwa influence hapa jf!
Kwahiyo kama hamtaki nichangie hapa jf...Then munieleze mimi nitajitoa kabla hamjafanya hivyo kwani sina nia mbaya na jf!

MCHUNGAJI GANI WEWE UNAWATISHA MAMODS WANIFUNGIE LA SIVYO UTAJITOA?
 
Ni wazi sasa yanasikilizwa!
Tatizo mnadharau sana!
Mgesikiliza maneno ya hawa wazalendo wanaojaribu kukupa ushauri basi ungerudi kwenye fair and just discussion on the Most important matters facing our dear Nation.

Sidhani kama mambo muhimu ya nchi yetu ni kuingia msituni na kutaka kumwaga damu ya watanzania kama unavyoshauri wewe hapa mtandaoni.
 
Back
Top Bottom