jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,375
- 25,453
- Thread starter
- #541
Mimi nishawaambia waje na PLAN B WAKABISHA!
Tusubiri kesho vichwa vya habari..Hapa hawataki mjadala...Lakini kwasababu viongozi wetu wanasoma na wako hapa..Then kesho waje na something otherwise....Mh mh!
Wautumie huu muda wakina MWK waliosimamisha shilingi kuja na majibu ya maana!
Tusubiri kesho vichwa vya habari..Hapa hawataki mjadala...Lakini kwasababu viongozi wetu wanasoma na wako hapa..Then kesho waje na something otherwise....Mh mh!
Wautumie huu muda wakina MWK waliosimamisha shilingi kuja na majibu ya maana!