jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
- Thread starter
- #461
MKuu huu ni mtizamo wako. TOfauti yako na mimi, mie sitakuita the worst person kwa kuhukumu mtizamo wako.
Mimi naamini kuwa Mushi hana nia njema na JF kwa vile analeta habari za uchochezi hapa jamvini kwa nia ya kumwaga damu. Kama huu usipokuwa ufisadi kwa kiwango changu, basi kuna safari ndefu sana ya kupima mafisadi hapa ambao wewe umekuwa unapambana nao kwa muda mrefu.
HABARI ZA uchochezi ni wewe unazileta hapa!