Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

No no no! You're missing the point.

Simrudishi Kishoka kwenye skandali lake la 'pothead.' Namuuliza kama alichokisema mara ya kwanza akakisema amekosea kina tofauti gani na hii ya kusema Mushi ni insane au hana upeo. Unaona pointi yangu?

Halafu, akimaliza kueleza tofauti ya upeo mdogo wa kuelewa, insane, na pothead, aeleze ana maana gani kusema hawezi kukimbia JF kwa sababu ya mtu anaitwa Mushi. Hiyo nayo sio dharau?

Kuhani,

Ulielewa maana ya nilichoandika hapa?

Mteja wako yeye ni mpotoshaji na hachelewi kuzushia jambo akishindwa kujibu hoja. Wengi wetu tu karibu kung'atuka na kuanza kula pensheni na mrithi wetu ambaye ni mteja wako, hapikiki!

Najua wewe ni bingwa wa Fasihi, je ni vipi nilimdharau Mushi? kusema hapikiki? Wewe na mimi ni Makungwi, sasa kama katika jando tunatakaachia kijana Urithi aendeleze Jando halafu akawa hafuatili kwa makini na umahiri ni kosa kuyatamka?

In fact Mushi should be proud pamoja na ubishi wake kuwa namfikiria kuwa Mrithi wetu wa Harakati, kuendeleza mapambano wakati wengine tunastaafu.

Sasa nyie mabingwa mmekimbilia kuhitimisha Reverend atajitoa JF kama Mushi hatafungiwa! wow Kiswahili ni lugha yetu, lakini ni kigumu!
 
Sijifichi nikiwa napingana na kitu. Huwa mkweli na ninapokosea sibishi hukiri na kuomba samahani.

Kukuandama ni kutokana na kuwa Mzushi na kuropoka bila kujua unachosema, ulipoleta lile la Ballali kuwa Kinyaga kijana ulikosea stepu kubwa sana, na ulikataa mpaka kesho kukiri kuwa ulileta uzushi au kuwaomba Ballali (Familia na marehemu) na Kinyaga msamaha kwa kuwazushia kuwa wanajuana.

Kama ni kweli hayo yote ya uropokaji..Then kwanini msituachie tukate issue?

Ama kuna pahala pabaya nimekamata?

Kuhusu la Kinyaga nalo msamaha nilishaomba!

Wewe ni MNAFIKI SIJAPATA ONA!

YANI NIMEKUSAMEHE HALAFU NA WEWE UNANISAMEHE KIUSANII?
 
Kuhani,

Ulielewa maana ya nilichoandika hapa?



Najua wewe ni bingwa wa Fasihi, je ni vipi nilimdharau Mushi? kusema hapikiki? Wewe na mimi ni Makungwi, sasa kama katika jando tunatakaachia kijana Urithi aendeleze Jando halafu akawa hafuatili kwa makini na umahiri ni kosa kuyatamka?

In fact Mushi should be proud pamoja na ubishi wake kuwa namfikiria kuwa Mrithi wetu wa Harakati, kuendeleza mapambano wakati wengine tunastaafu.

Sasa nyie mabingwa mmekimbilia kuhitimisha Reverend atajitoa JF kama Mushi hatafungiwa! wow Kiswahili ni lugha yetu, lakini ni kigumu!

Mropokaji na mvuta bangi amrithi mchungaji?
Kweli UWEZO WAKO WA KUFIKIRI NI WA KUTUPIWA MACHO..SERIOUSLY!
 
Machukizo maana yake vitu vinavyo chukiza. Sio lazima uwe umechukizana na mtu.

Hilo neno machukizo lipo kwenye Biblia mara kibao.

Sasa machukizo yako ni kusema 'ya pothead tumemalizana nayo' lakini hapo hapo unatetea MWFK anavyo kataa kumalizana na yakwenda msituni.

Kama wewe ni muadilifu, kemea MWFK hapa tukuone kweli kishoka!

Ahhaaa,

kumbe tatizo ni MWK? yeye ndiye kipimo cha uadilifu wa memba?

Hii ni mpya toka kwako kuhani, nafurahi nimestay long kujua nia yako. Kama ni hii basi ngoja nikupe usiku mwema ili ukusanye membaz wa kutosha kwenye mtandao wako ili "wamkemee MWK" wakati jibu la Mushi la kwa nini anataka kuingia msituni ili kumwaga damu Tanzania likisubiriwa.

Usiku mwema mkuu, hii yako inahitaji pause kidogo.... kabla ya kuitafutia jibu..

yaani... mkemee MWK ili ijulikane kama mtu ni muadilifu?!!!??!

Waooo!
 
Andaa jeneza na sanda, tutalia, tutakuzika na baada ya arubaini tutainua jamvi 😛

Be CAREFULL WITH YOUR WORDS PLS.
Unasound kama JITU LENYE ROHO KUTU!
UNAKUJA NA JINA LA MCHUNGAJI WAKATI MANENO YAKO YANA ISHARA ZA MANABII WA UONGO!
USHINDWE!
FUTA HIYO STATUS YA UCHUNGAJI KWASABABU UNAUDHALILISHA!
 
Najua wewe ni bingwa wa Fasihi ... wow Kiswahili ni lugha yetu, lakini ni kigumu!

Mabingwa wa fasihi au hatujui Kiswahili?

Unatusifu na kudharau upeo wetu wa Kiswahili hapo hapo?

Naomba ujibu kwanini hukemei MWFK anavyo fungia kibwebwe ishu iliyokufa ya 'kwenda msituni'?
 
Ahhaaa,

kumbe tatizo ni MWK? yeye ndiye kipimo cha uadilifu wa memba?

Hii ni mpya toka kwako kuhani, nafurahi nimestay long kujua nia yako. Kama ni hii basi ngoja nikupe usiku mwema ili ukusanye membaz wa kutosha kwenye mtandao wako ili "wamkemee MWK" wakati jibu la Mushi la kwa nini anataka kuingia msituni ili kumwaga damu Tanzania likisubiriwa.

Usiku mwema mkuu, hii yako inahitaji pause kidogo.... kabla ya kuitafutia jibu..

yaani... mkemee MWK ili ijulikane kama mtu ni muadilifu?!!!??!

Waooo!

Usiku mwema.

Tume move forward ishu ya msituni!
 
Kama ni kweli hayo yote ya uropokaji..Then kwanini msituachie tukate issue?
Ama kuna pahala pabaya nimekamata?
Kuhusu la Kinyaga nalo msamaha nilishaomba!
Wewe ni MNAFIKI SIJAPATA ONA!
YANI NIMEKUSAMEHE HALAFU NA WEWE UNANISAMEHE KIUSANII?

Kuitisha watu kuingia msituni ili kumwaga damu ni jambo kubwa na sasa wale kina mama na watoto nyumbani umewashika pabaya sana. Kama kukata issue ndio huku, JF sio mahali pake.

Anzisha kwingine kwenye mitizamo ya kumwaga damu na sio hapa.
 
Mropokaji na mvuta bangi amrithi mchungaji?
Kweli UWEZO WAKO WA KUFIKIRI NI WA KUTUPIWA MACHO..SERIOUSLY!

Dogo,

Wenzio tulishapitia huko unakopita sasa miaka ile ya 47, tulikuwa tunaitwa Potheads, Waropokaji, Much Know, Hapikiki, Haambiliki na majina kibao.. Kisa ni ujana na ujuvi wetu kujiona tunaweza pelekeshana puta na waliotutangulia.

Tumejifunza na kukomaa, sasa wewe unafunzwa ili usipitie zile njia ndefu tulizopitia wengine kupoteza muda, unasema hata, ni lazima nitumie miaka 40 kabla ya kupevuka wakati ungeweza kupevuka katika miaka Miwili tuu na kuwa na manufaa makubwa kwa muda mrefu.

By the time umemaliza miaka yako 40 ya kujifunza harakati, utakuwa mzee tayari kubwaga manyanga na kukosa nguvu kuwa makini katika harakati!
 
Usiku mwema.

Tume move forward ishu ya msituni!

Issue ya msituni bila kupewa majibu ndio mwanzo kesho itaanza kuandikwa magazetini huku na jina la aliyeisema likiwekwa wazi. Heading itakuwa, Wana JF wamkemea memba mmoja aliyejiita Mushi ambaye alitaka watu kuingia msituni ili kumwaga damu ya watanzania wenzao.
 
Issue ya msituni bila kupewa majibu ndio mwanzo kesho itaanza kuandikwa magazetini huku na jina la aliyeisema likiwekwa wazi. Heading itakuwa, Wana JF wamkemea memba mmoja aliyejiita Mushi ambaye alitaka watu kuingia msituni ili kumwaga damu ya watanzania wenzao.

You are such a wanton spinner! I tell you!

Goodness gracious!

You are amazing Mwafrika wa Kike!

You are in trouble today! Just don't dig deeper!
 
Mabingwa wa fasihi au hatujui Kiswahili?

Unatusifu na kudharau upeo wetu wa Kiswahili hapo hapo?

Naomba ujibu kwanini hukemei MWFK anavyo fungia kibwebwe ishu iliyokufa ya 'kwenda msituni'?

Naona unajaribu kurekebisha kidogo ulichoandika too little too late, off all pple sikutegemea kuwa kipimo cha ufisadi ni kumkemea MWK ambaye anakemea wale wanaotaka kwenda msituni na kumwaga damu Tanzania.

Katika hili mkuu, afadhali nibaki kwenye "mtandao" wangu wa wachukiao mafisadi wanaopenda kumwaga damu Tanzania.
 
dogo,

Wenzio Tulishapitia Huko Unakopita Sasa Miaka Ile Ya 47, Tulikuwa Tunaitwa Potheads, Waropokaji, Much Know, Hapikiki, Haambiliki Na Majina Kibao.. Kisa Ni Ujana Na Ujuvi Wetu Kujiona Tunaweza Pelekeshana Puta Na Waliotutangulia.

Tumejifunza Na Kukomaa, Sasa Wewe Unafunzwa Ili Usipitie Zile Njia Ndefu Tulizopitia Wengine Kupoteza Muda, Unasema Hata, Ni Lazima Nitumie Miaka 40 Kabla Ya Kupevuka Wakati Ungeweza Kupevuka Katika Miaka Miwili Tuu Na Kuwa Na Manufaa Makubwa Kwa Muda Mrefu.

By The Time Umemaliza Miaka Yako 40 Ya Kujifunza Harakati, Utakuwa Mzee Tayari Kubwaga Manyanga Na Kukosa Nguvu Kuwa Makini Katika Harakati!

Mchungaji...kuwa Fair Na Kukomaa Kifikra Ni Kuacha Mjadala Uendelee Bila Vikwazo Mnavyoweka Wewe Na Mwk!
 
You are such a wanton spinner! I tell you!

Goodness gracious!

You are amazing Mwafrika wa Kike!

You are in trouble today! Just don't dig deeper!

Kama kukemea wanaotaka kumwaga damu ni kuwa kwenye trouble, I am to dig deeper mpaka mafisadi wanaotaka kumwaga damu ya watanzania wakome kabisa hizo njozi zao hatari.

Otherwise, bado niko kwenye mshangao kwenye uliyosema kuwa kipimo cha uadilifu hapa ni kumkemea MWK.
 
Mchungaji gani wewe unayeniandali sanda na jeneza at the same time?
Wakristo wako wana arubaini?
Ama wanatumia sanda na jeneza kwa wakati mmoja?
Uwezo wako kusema na kufikiri!?
 
Kama kukemea wanaotaka kumwaga damu ni kuwa kwenye trouble, I am to dig deeper mpaka mafisadi wanaotaka kumwaga damu ya watanzania wakome kabisa hizo njozi zao hatari.

Otherwise, bado niko kwenye mshangao kwenye uliyosema kuwa kipimo cha uadilifu hapa ni kumkemea MWK.

Hivi unajua ni wananchi wangapi ambao wameshakufa kwa magonjwa yenye kukingika,njaa,ukosefu wa madawa etc?
WHO IS RESPONSIBLE FOR SUCH CRUEL ATTROCITIES?
 
Otherwise, bado niko kwenye mshangao kwenye uliyosema kuwa kipimo cha uadilifu hapa ni kumkemea MWK.

You missed the point.

Kishoka kasema skandali lake la pothead limepita. Lakini hapa wewe unaibua skandali lililopita ana sapoti.

Ndo nikasema, Kishoka aonyeshe uadilify wa kutokuwa na double-standard, akemee unavyo ibua skandali lililokufa la kwenda msituni.
 
Mwk Kasimamisha Shilingi...ama Kweli Taifa Liko Njia Panda!
 
You missed the point.

Kishoka kasema skandali lake la pothead limepita. Lakini hapa wewe unaibua skandali lililopita ana sapoti.

Ndo nikasema, Kishoka aonyeshe uadilify wa kutokuwa na double-standard, akemee unavyo ibua skandali lililokufa la kwenda msituni.

Basi mkuu ngoja nilazimike na nikuelewe for tonight ingawa sasa ninauogopa huo mtandao wako wa kusapoti wanaotaka kumwaga damu Tanzania kama ugonjwa hatari usio na tiba..

Uwe na usiku mwema ... for sure now!

Very nice debate!
 
Back
Top Bottom