Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Narudia tena...Sikuambiwa hiyo ni sababu...Lakini pia iliibuliwa,na niliwaomba msamaha kwa kutumia lugha hizo.

Hata hivyo wana jf waliniombea msamaha na sasa niliwashukuru Wana jf/Mods na mjadala unaendelea!

Una hakika kuwa umesamehewa ... kwi kwi kwi

NB:Maswali mawili muhimu ambayo unakwepa bado..

Tofauti yangu na wewe, mimi najibu maswali yako lakini wewe hujibu yangu. Natumaini baada ya hili utaanza kujibu maswali yangu.

1)Kwanini ulihojiwa na FBI kuhusu kifo cha ballali.

Sijawahi kuhojiwa na FBI kuhusu kifo cha Ballali, Ila nimewahi kwa utashi wangu mwenyewe kupiga simu FBI na kuongea nao kuhusu kifo cha Ballali.

2)Kwanini ulisema Kikwete apewe mwezi kwasababu kuna kitu kikafanyika na miezi imepita bila ya wewe kusema ni nini hasa ulichokuwa ukikifahamu!Hata hivyo sisi tunajua ballali alipotea!

Niliposema kuwa Kikwete apewe mwezi mzima, mambo mengi sana yalitokea ikiwemo chuo ninachosoma hapa US kikamaliza muhula wa spring. Je katika hilo nalo nina mkono?

Nilimpa Kikwete muda kufanya kazi na sikumpa muda kwa vile aliahidi kufanya kazi (kama unajitaji nikuletee thread yangu basi nitaileta hapa tuichambue).

3)Hujasema ni kwanini wewe na SINCLAIR MNA RIPOTI KABLA YA WANANCHI KUWA NAYO!

Hata report ya E&Y na zile zingine zote ikiwemo mkataba wa Buzwagi nilizipata kabla wananchi hawajazipata na ninaziweka hapa. Je kuna makosa kuwa na siri za serikali na kuziweka hapa JF?

Tuanze na hayo...

Nitashukuru kama huta SPIN!

Umeridhika?

Kama bado uliza upate ufafanuzi zaidi na ujiandae sasa kujibu maswali yangu.
 
Misimamo IPI HIYO ISIYOYUMBA YA KULA MEZA MOJA NA MAFISADI NA SASA KUTAKA KUWASAFISHA?
ARUDI TU CCM KAMA KINA MARANDO!
KUKAA KWAKE UPINZANI KUNATUCHANGANYA KWASABABU AMEAMUA KULA MEZA MOJA NA MAFISADI NA KUWATETEA!
UKIITETEA ccm NA WEWE NI NANI KAMA HUSEMI WAKAMATWE?

Una hakika kuwa mimi au yeyote unayemsema hapa hajasema kuwa mafisadi wakamatwe? Na hata hivyo, ukishasema kuwa mafisadi wakamatwe then ndio tu umepass kipimo cha uzalendo?

Unajua kuwa hata Kikwete anamesema kuwa anataka mafisadi wakamatwe?
 
Una hakika kuwa mimi au yeyote unayemsema hapa hajasema kuwa mafisadi wakamatwe? Na hata hivyo, ukishasema kuwa mafisadi wakamatwe then ndio tu umepass kipimo cha uzalendo?

Unajua kuwa hata Kikwete anamesema kuwa anataka mafisadi wakamatwe?

Mama kaja na mbwembwe nyiingi1
Eti PESA ZA EPA ZIRUDISHWE!
Hilo nalo ni jipya?
JIPYA NI WAKAMATWE...Na si kuwa walisema...WASEME!
Hatukuhitaji kamati yoyote ile tupate haki ya kisheria!
Ripoti za ukaguzi zilitosha kabisa!
 
Kuhani,

Hakuna kupindisha jambo, Mushi alisema yeye na familia ya Mama Zakhia Meghji ni majirani na anafahamiana nao sana. Zaidi alisema anasikia uchungu, lakini hakutamka kuwakana kina Meghji kwa kutuhumiwa Ufisadi.

Kama yeye anashupalia wengine waachane na mahusiano waliyonayo na wenye kutuhumiwa Ufisadi, kwa nini yeye asiwe wa kwanza?

Don't try to twist the stories here I know very well where you are heading with this!

Ha haaa haaaa

Nilikuwa sijaiona hii.

Mimi nataka ku twisti stori kwa kusema wewe unataka kutwisti stori?

Hilarious!
 
Mama kaja na mbwembwe nyiingi1
Eti PESA ZA EPA ZIRUDISHWE!
Hilo nalo ni jipya?
JIPYA NI WAKAMATWE...Na si kuwa walisema...WASEME!
Hatukuhitaji kamati yoyote ile tupate haki ya kisheria!
Ripoti za ukaguzi zilitosha kabisa!

Utaingia lini msituni ili umwage damu ya mama kwa ufisadi?
 
Pls MWK na MUSHI naona sasa lenu limekuwa personal......jamani hoja inajibiwa na hoja nadhani leo ni mara kadhaa narudia ombi hilo......kama mna bifu zenu binafsi i suggest u take them outside the forum......nawaombeni sana jamani
 
Pls MWK na MUSHI naona sasa lenu limekuwa personal......jamani hoja inajibiwa na hoja nadhani leo ni mara kadhaa narudia ombi hilo......kama mna bifu zenu binafsi i suggest u take them outside the forum......nawaombeni sana jamani

Mkuu wangu, hakuna bifu yoyote na Mushi.

Ninajaribu tu kujua kwa nini alifanya kampeni ya kutaka JF ifungiwe na waendeshaji wake washitakiwe kwa kuweka maneno ya uchochezi hapa JF na kuitisha watu waingie msituni na kumwaga damu Tanzania kwa vile anayotaka yeye Mushi hayafanyiki?
 
Under the belt!

Majadiliano ya kuingia msituni ni off limit!

Mushi, take the high road on this low blow.

Haya ni maneno ya Mushi au sio? Mushi ana nia njema na JF au Tanzania kwa ujumla kama anaitisha watu kuingia msituni na kumwaga damu?
 
Mushi compose your self and get focused mwanangu, kuna kihunzi lazima ukiruke, akili kumkichwa kutegua mitego.
 
Mushi compose your self and get focused mwanangu, kuna vihunzi lazima ukiruke, akili kumkichwa kutegua mitego.

Akiacha kuitisha watu kuingia msituni ili kumwaga damu atakuwa kwenye position nzuri sana hapa JF. Otherwise, nia ya postings zake hapa JF inatia wasiwasi na maswali mengi sana.
 
Haya ni maneno ya Mushi au sio? Mushi ana nia njema na JF au Tanzania kwa ujumla kama anaitisha watu kuingia msituni na kumwaga damu?

Mushi ameshalipa deni kwa hayo maneno, na hajayarudia tena. Kama Mushi amekuzidi hoja usirushe ngumi za chini.
 
Mushi ameshalipa deni kwa hayo maneno, na hajayarudia tena. Kama Mushi amekuzidi hoja usirushe ngumi za chini.

Ni hoja gani hiyo aliyotoa? Hapa anaulizwa alichosema hapa JF ili kujua nia yake. Kuna kosa gani kuulizwa atoe maelezo ya yale aliyosema?

Yeye ameniuliza swali la kwa nini nilimpa Kikwete mwezi mmoja nikamjibu. Kwa nini yeye asijibu swali la kwa nini anataka kwenda msituni ili kumwaga damu Tanzania?
 
Mushi aliomba msamaha na yakaisha!Mushi focus mbele usirudi nyuma hayo yalishapita!
 
Akiacha kuitisha watu kuingia msituni ili kumwaga damu atakuwa kwenye position nzuri sana hapa JF. Otherwise, nia ya postings zake hapa JF inatia wasiwasi na maswali mengi sana.

wewe unayekolezea wino ndio unaikuza hilo jambo, unastahili kureportiwa kwani Mushi alishasamehewa na akaahidi harudii. Wewe naona unalikomalia kwa mgongo wa Mushi.
 
Kwa nini yeye asijibu swali la kwa nini anataka kwenda msituni ili kumwaga damu Tanzania?

Kwa sababu alichokisema kilikuwa roundly criticized, na akafungiwa. Akaomba msamaha, akafunguliwa, aka move forward. Tukafungua ukurasa mpya.

Mushi, stay above the fray on this one.
 
Mushi aliomba msamaha na yakaisha!Mushi focus mbele usirudi nyuma hayo yalishapita!

mhhhh,

Ukiomba msamaha ni tofauti na kuelezea nia ya ulichofanya.
Mushi aseme nia yake ya kuitisha watu waingie msituni ili kumwaga damu hapa JF.
 
wewe unayekolezea wino ndio unaikuza hilo jambo, unastahili kureportiwa kwani Mushi alishasamehewa na akaahidi harudii. Wewe naona unalikomalia kwa mgongo wa Mushi.

Unalikomalia li nini hilo? jambo ambalo Mushi alilisema au mwingine?

Kuna makosa gani kwa Mushi kuelezea nia yake hapa.

Mushi, kwa nini ulitaka watu kuingia msituni ili kumwaga damu Tanzania?
 
Back
Top Bottom