Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

Hatimaye JK akabidhiwa ripoti ya madini

sie wakina nanilii, tunamuelewa sana JMushi1....na ndio maana kila siku nitakuwa namtetea pale nitakapo ona watu wanamkandamiza.

!.

YNIM,

Kibakuli cha Sadaka saidia Invisible na PainKiller watoke Keko kikipita natumaini utakuwa wa kwanza na mstari wa mbele kutoa zaka!

JF itakapofungwa, naamini utakuwa mstari wa mbele kuanzisha kituo kipya cha kurusha matangazo ya harakati.
 
Wana JF mko watu kadhaa mnaona kinachoendelea hapa mbona hakuna wa kuingia kutoa wazo ili hii sijui niite mlumbano ausijui nini....kinachoendelea hapa ...kumbukeni thread moja imeshafungwa kwa sababu za vitendo vya kijinga.........watu inaonekana kama tumerogwa tumetoka njee za mada na kuingia personal issue.

Weakness yetu kubwa sisi Watanzania (Weusi kwa ujumla)hatuwi na ile sense of patriotism......Jamani tusaidiane na tuendelee na mapambano
 
usituchanganye bana hapa! hakuna chochote Mushi anachofanya zaidi ya "kujiridhisha" ktk haya mapambano na mafisaidi!!

unataka kusema kwamba Mushi ana jeshi huko msituni?? pulizi!! ni chepi anachofanya Mushi, ambacho unakijua sisi hatukijuhi?? iweje mtu "mapepe" unamwona threat namna hiyo? iweje mtu "mapepe" awe na uwezo wa ku-organize watu kwenda msituni??

Mkuu, haya ya msituni ni maneno yake na sio yangu labda nikuulize wewe kama unajua nia yake.

mwisho na kwa mara nyingine, msijaribu kumziba mdomo Mushi, mwacheni arushe roho!! kama hukubaliani nae basi usimjibu, mu-ignore, usisome anachoandika.....lakini sio kufanya unavyofanya!!

Kwa nini ufikiri kuwa Mushi anazibwa mdomo? kuhusu swala la kumjibu, je umejiuliza kwa nini yeye ananijibu mimi na kusema kuwa mimi ni fisadi?

sie wakina nanilii, tunamuelewa sana JMushi1....na ndio maana kila siku nitakuwa namtetea pale nitakapo ona watu wanamkandamiza.

MWK,todayz worst person in the world!!.


MKuu wangu YNIM,

mbona mimi kila mara ni the worst person in the world! Alichokandamizwa Mushi hapa ni nini? kuulizwa aelezee alichosema? Je ulikuwa wapi wakati akiniuliza mimi kuelezea nilichofanya (if you cared kwa wanaokandamizwa)?
 
Kama Mushi katumwa basi na wengine wengi wanatumwa. gedere hajioni mkiani na waafrika ndivyo tulivyo kwa kukumbatia na kunyooshea kidole.

Kuna kioo unaweza weka na kujitazama kama umejaa kinyesi au sivyo. Hata ukipitisha Konoz, unaweza baini kama kuna salio la kinyesi au hakuna!
 
Kuna kioo unaweza weka na kujitazama kama umejaa kinyesi au sivyo. Hata ukipitisha Konoz, unaweza baini kama kuna salio la kinyesi au hakuna!

hata ukiona kuna kinyesi kwa kioo, na vile unakomaa ili ushindi upatikane basi utasema kuwa ni tope tu kwa vile hakuna nguo ya ndani.
 
Hii thread ilikuwa ni kuhusu Kikwete kupokea ripoti ya madini, kaletwa Anna Killango kuwa analinda ufisadi, wametuhumiwa kina Iddi Simba mpaka Zitto kusema wanalinda ufisadi wa EPA.

Sasa tunapokuwa na mchafuzi ambaye ishara zote zinaonyesha kuwa nia yake ni kuleta vurugu mnataka tukae kimya?

Onyesha JMushi alipoleta vurugu za 'msituni talk' hapa?

Kuwa fair Kishoka. Wewe ulikuwepo hapa Mushi alipofungiwa mpaka alipokuwa anatubu. Sasa unamhukumu wakati alishatubu? Si kwa Mungu au kwa sheria za binadamu, huwezi kuhukumiwa mara mbili kwa kosa lile lile, ni double jeorpady!

Kuwa fair for once.
 
Onyesha JMushi alipoleta vurugu za 'msituni talk' hapa?

Kuwa fair Kishoka. Wewe ulikuwepo hapa Mushi alipofungiwa mpaka alipokuwa anatubu. Sasa unamhukumu wakati alishatubu? Si kwa Mungu au kwa sheria za binadamu, huwezi kuhukumiwa mara mbili kwa kosa lile lile, ni double jeorpady!

Kuwa fair for once.

Nenda kwenye thread ya Anna Killango atoke CCM.

Najua una personal opinion kuhusu Anna Killango which I respect, lakini hujafikia extent aliyofikia Mushi ya ku-insinuate upanga au Kolimberlization!
 
Mwamtetea bure... ukiangalia anachokifanya Mushi pamoja na kuonekana ni mwanamapinduzi, kuna walakini mkubwa sana ambao unaonyesha dhumuni lake si kuleta hamasa ya Uanaharakati au Mapinduzi bali ni kuchochea vurugu ambayo inaweza kufikia kijiwe kufa.

Sitakuwa msiri kubainisha nahisi Mushi katumwa kwa makusudi kuleta vurugu humu kwa niaba ya wale ambao tangu awali walitaka kuua JF tangu kule Jambo Forum na sasa hapa JamiiForum.

Wengi tunapingana hoja, kuna wale wa CCM, kina Kada Mpinzani na wengine, kuna wanaopingana kuhusiana na Dataz, kina Kubwajinga, hata ndugu yangu Kuhani.

Lakini wote wale watetea Serikali au wakosoaji wa Serikali, hatujafikia hatua za Mushi ambazo zinaonekana kuwa ni uropokaji bila mpango.

Akiulizwa swali badala ya kujibu swali, huzua jambo, ataruka kama panzi kutoka thread moja mpaka nyingine akilizungumzia jambo lile lile na kuzua mapya.

Kuhani alijaribu sana kuwa Wakili kwa Mushi alipofungiwa, lakini naona si mbali sana wema wa Kuhani utafika kikomo.

Sisi tunaupenda huu ukumbi, ndio maana Mchungaji leo yupo tayari kubishana hoja na Kuhani, FMES, Game Theory, Kada Mpinzani, Mwafrika wa Kike katika kuelimishana.

Hii thread ilikuwa ni kuhusu Kikwete kupokea ripoti ya madini, kaletwa Anna Killango kuwa analinda ufisadi, wametuhumiwa kina Iddi Simba mpaka Zitto kusema wanalinda ufisadi wa EPA.

Sasa tunapokuwa na mchafuzi ambaye ishara zote zinaonyesha kuwa nia yake ni kuleta vurugu mnataka tukae kimya?

Mbona tunamvumilia Kada Mpinzani na UCCM wake pamoja na kuwa tumeichoka CCM?

Mushi is an exceptional character, na matendo yake kila siku yananifanya nijiulize, je huyu ana nia nzuri na JF au katumwa kuvuruga JF ili kina Invisible waanze kulala nyumba tofauti kila siku na hata credibility ya JF ikapotea?


Rev,

Na hapa ndipo mimi nimewachoka watu fulani hapa. Kulikuwa na debate hapa kati yangu na Kadampinzani kabla hatujaamua kuacha na watu kibao wakaanza kuwa JF ni anti CCM na pia kuwa Mbowe na Chadema hawasemwi hapa.

Imekuja hii ya Mushi naona sasa wanasema kuwa JF ni pro ccm Na kuwa Kikwete hasemwi hapa.

Imekuwa sasa kama wapinzani wa FMES, akimtetea Mbowe na Slaa watu ohhh yeye ni Mpinzani. Akimtetea Kikwete anaitwa fisadi. Akimtetea Malecela basi watu wanadai aseme uhusiano wake na Malecela.

Haya mambo hayawezi kuachwa. Kama mimi nilipingana na waliokuja hapa kupambana na wana JF mwanzoni au wale waliopelekea JF kufungiwa, the same standard itatumika kwa MUshi ambaye pia flooding yake ya thread na wito wake wa kuingia msituni vinaonesha kabisa kuwa anataka JF iharibike au kufungiwa.
 
Onyesha JMushi alipoleta vurugu za 'msituni talk' hapa?

Kuwa fair Kishoka. Wewe ulikuwepo hapa Mushi alipofungiwa mpaka alipokuwa anatubu. Sasa unamhukumu wakati alishatubu? Si kwa Mungu au kwa sheria za binadamu, huwezi kuhukumiwa mara mbili kwa kosa lile lile, ni double jeorpady!

Kuwa fair for once.

Mushi ahukumiwi hapa ila anaulizwa tu kueleza nia yake. Muda mfupi tu uliopita hapa alisema kuwa Mama Malecela atoke ccm maana asipotoka atauwawa.

Uliyaona hayo?

Nia ya Mushi ya kuingia msituni na Kumwaga damu ni ipi?
 
kaka,
u're reading too much into this Mushi guy! Mushi is being Mushi and that is about it!

kwanza dogo anatumia jina lake la kweli, kama mtu anashida nae basi atamtafuta Mushi huko alipo! hivi wewe unafikiri soln ni ipi hapa ktk kudili na JM1? kumfungia?

sidhani kama Mushi ana nia mbaya na JF!!!

Uzuri wa JF, si DHW au Michuzi line, hilo ni exception. Wewe tushapingana hoja sana, na tunabadilishana mawazo katika kupingana hoja na si kuzungusha kiberenge na kuleta maneno ambayo hatuna hakika nayo.

Same thing ninavyokuwa na difference of opinion na Kuhani, Mwanakijiji, Nyani, Koba, Mwanatanu, MwK na wengine wengi ambao hatuoni with the same eye, lakini kuna mutual repsect.

Yeye mwenzetu haoni hilo, ukipingana naye anakuita fisadi au mtetezi wa Ufisadi.

Sasa kafikia hatua anamzushia hata Zitto kuwa ni Fisadi, kisa kuwa kamati ya Rais ya madini!

You may enjoy his "rhetoric" but there are alot of misleading statements that he issues to be true of facts rather than opinion that are taken seriously by some of our readers.

Mfano mmoja hai wakati wa Ballali alipozusha kuwa Ballali ni Kinyaga, hivi unajua ni tabu gani Kinyaga ameipata na kusakamwa kwa kuambiwa yeye anajuana na Ballali na anajua Ballali alipo au alipoficha fedha?

So yes I will be the first one to step up and demand that he back and own his words, just like how I will stand to back and own my words. Stone me if you like!
 
Onyesha JMushi alipoleta vurugu za 'msituni talk' hapa?

Kuwa fair Kishoka. Wewe ulikuwepo hapa Mushi alipofungiwa mpaka alipokuwa anatubu. Sasa unamhukumu wakati alishatubu? Si kwa Mungu au kwa sheria za binadamu, huwezi kuhukumiwa mara mbili kwa kosa lile lile, ni double jeorpady!

Kuwa fair for once.

Kosa si kufanya kosa, bali ni kurudia kosa! I am very fair na if I find my statements and words vimepotosha umma, I will own my words!
 
Hatimaye ikawa hivi....kwi kwi kwi kwi!!!!!!!!!!!
cripbloodknotted.jpg


Haikuishia hapa walionekana hapa mtaani
truce.jpg
 
Uzuri wa JF, si DHW au Michuzi line, hilo ni exception. Wewe tushapingana hoja sana, na tunabadilishana mawazo katika kupingana hoja na si kuzungusha kiberenge na kuleta maneno ambayo hatuna hakika nayo.

Same thing ninavyokuwa na difference of opinion na Kuhani, Mwanakijiji, Nyani, Koba, Mwanatanu, MwK na wengine wengi ambao hatuoni with the same eye, lakini kuna mutual repsect.

Yeye mwenzetu haoni hilo, ukipingana naye anakuita fisadi au mtetezi wa Ufisadi.

Sasa kafikia hatua anamzushia hata Zitto kuwa ni Fisadi, kisa kuwa kamati ya Rais ya madini!

You may enjoy his "rhetoric" but there are alot of misleading statements that he issues to be true of facts rather than opinion that are taken seriously by some of our readers.

Mfano mmoja hai wakati wa Ballali alipozusha kuwa Ballali ni Kinyaga, hivi unajua ni tabu gani Kinyaga ameipata na kusakamwa kwa kuambiwa yeye anajuana na Ballali na anajua Ballali alipo au alipoficha fedha?

So yes I will be the first one to step up and demand that he back and own his words, just like how I will stand to back and own my words. Stone me if you like!

MKuu hapo kwenye bold nimekumbuka jinsi wewe, Mkjj na member wengine mulivyojaribu kumwambia aache kuwaita kina Kinyanga kuwa ni mafisadi na kuwa wanahusiana na Ballali lakini yeye akakataa kata kata na wengine hapa wakadhani kuwa hamumpendi Mushi kumbe nyie mnajaribu kutunza credibility ya JF.

The following day nilivyokuja, nilimuomba for sometimes aache kuwaita kina Kinyaga kuwa ni mafisadi na the guy akawa mbogo. Nikajaribu hata kumwambia kuwa anachofanya kinaweza kupelekea JF kushtakiwa na kina Kinyanga lakini Mushi hakujali kabisaaaa mpaka nilivyoamua sasa kumuumbua kuwa kutumia technology.

Mwenzangu huyu bado sijajua nia yake hapa JF kama hajali kuwa JF inaweza kushitakiwa au waendeshaji wa JF wanaweza kufungwa kwa maneno yake ya kutaka watu waingie msituni ili kumwaga damu.

Bado nasubiria nia ya mushi kwenye maneno yake ya kutaka kumwaga damu Tanzania.
 
Nenda kwenye thread ya Anna Killango atoke CCM.

Najua una personal opinion kuhusu Anna Killango which I respect, lakini hujafikia extent aliyofikia Mushi ya ku-insinuate upanga au Kolimberlization!

Katika thread ile, the central idea ya Mushi ni hii:

Tunataka kumwamini lakini chama ndiyo shida!
Atapigana vipi na majambazi ya EPA AMBAO NI ccm yake?

That is the thrust of that whole thread. Sasa atawezaje tena kusema atamwendea msituni kama anataka kumwamini?

Mushi ni vigumu sana kumuelewa, kwa sababu ana ramble sana. Sasa una kila haki ya kusema hana credibility, na ku ignore posti zake. Lakini ukianza kumshutumu, ni vizuri ukawa na uhakika mzuri sana na anacho maanisha, na uwe umemsoma.

Hii ishu ya kwenda msituni mnayoiibua, namu admire sana Mushi anavyo i handle. Hata Rweyemamu na Simba hawawezi kufanya damage control kama ya Mushi hapa.

Mushi is not re-opening that chapter in the evolution of his thought process. Tremendous job, Mushi.
 
Kama MWK anajidai anaiogopa serikali...Then na sisi wananchi tuanze uchunguzi kuwa ripoti ya madini aliipata vipi yeye na SINCLAIR?
 
MKuu hapo kwenye bold nimekumbuka jinsi wewe, Mkjj na member wengine mulivyojaribu kumwambia aache kuwaita kina Kinyanga kuwa ni mafisadi na kuwa wanahusiana na Ballali lakini yeye akakataa kata kata na wengine hapa wakadhani kuwa hamumpendi Mushi kumbe nyie mnajaribu kutunza credibility ya JF.

The following day nilivyokuja, nilimuomba for sometimes aache kuwaita kina Kinyaga kuwa ni mafisadi na the guy akawa mbogo. Nikajaribu hata kumwambia kuwa anachofanya kinaweza kupelekea JF kushtakiwa na kina Kinyanga lakini Mushi hakujali kabisaaaa mpaka nilivyoamua sasa kumuumbua kuwa kutumia technology.

Mwenzangu huyu bado sijajua nia yake hapa JF kama hajali kuwa JF inaweza kushitakiwa au waendeshaji wa JF wanaweza kufungwa kwa maneno yake ya kutaka watu waingie msituni ili kumwaga damu.

Bado nasubiria nia ya mushi kwenye maneno yake ya kutaka kumwaga damu Tanzania.

Musinijengee hoja ya KUFUKUZWA...Turudi kwenye mjadala sasa!
 
Katika thread ile, the central idea ya Mushi ni hii:



That is the thrust of that whole thread. Sasa atawezaje tena kusema atamwendea msituni kama anataka kumwamini?

Huu ni mtizamo wako binafsi na sidhani kama unataka kulazimisha wote hapa JF wafikirie au waichukulie hii issue kama unavyofikiri.

Mushi ni vigumu sana kumuelewa, kwa sababu ana ramble sana. Sasa una kila haki ya kusema hana credibility, na ku ignore posti zake. Lakini ukianza kumshutumu, ni vizuri ukawa na uhakika mzuri sana na anacho maanisha, na uwe umemsoma.

Maneno ya kuingia msituni na kumwaga damu ni yake Mushi na sidhani kama kuna mtu kamwekea.

Hii ishu ya kwenda msituni mnayoiibua, namu admire sana Mushi anavyo i handle. Hata Rweyemamu na Simba hawawezi kufanya damage control kama ya Mushi hapa.

Mushi is not re-opening that chapter in the evolution of his thought process. Tremendous job, Mushi.

Kakosa majibu mkuu unadhani ni kazi rahisi kutetea mawazo ya kutaka watu kuingia msituni na kumwaga damu ya watanzania kwa vile kelele zako za JF hazijasikilizwa?
 
Nenda kwenye thread ya Anna Killango atoke CCM.

Najua una personal opinion kuhusu Anna Killango which I respect, lakini hujafikia extent aliyofikia Mushi ya ku-insinuate upanga au Kolimberlization!

Ballali si kuna waliosema kawekewa sumu?
Kolimba na Sokoine ni mimi?
Na uchawi bungeni mara baada ya kikao kwenye kaburi la mwalimu butiama ni mimi pia?
 
Mjadala ni huu unaoendelea wa kutaka wewe kuelezea nia yako ya kutaka watu kuingia msituni na kumwaga damu ya watanzania.

Nilisema ni muhimu MAFIASADI WAKAMATWE LA SIVYO KUNA UWEZEKANO WA NCHI KUINGIA KWEMYE MACHAFUKO!
NI MAONI TU!
 
Back
Top Bottom