Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,206
- 33,223
Kuelekea 2015 bado mengi tu tutayajua.Nyie endeleeni tu na sarakasi zenu.Nasisitiza kuwa WANASIASA WOTE NI WAHUNI,WAZANDIKI NA WASIO NA HURUMA.
Second line.
Kuelekea 2015 bado mengi tu tutayajua.Nyie endeleeni tu na sarakasi zenu.Nasisitiza kuwa WANASIASA WOTE NI WAHUNI,WAZANDIKI NA WASIO NA HURUMA.
Mtoto wa kiume unapenda sana kucheka...mie nachangia thread nyingi na majukwaa mengi nipo...naona mzimu wa Ritz, unazidi kukutafuna na bado.
Pro-Chadema ebu kuweni mfano wa Dr Slaa kadi zenu za CCM zitunzeni.
Mwanangu Yericko Nyerere punguza hasira hadi unaongea kichina. Umewahi kusoma kitabu cha Tzu te ching? Kitafute utafaidika sana.
[MENTION]...hivi, Nape alisharudisha vifaa vyote alivyokua amekabidhiwa kwa ajili ya kuendesha ofisi za CCJ?
Tanzania hamna upinzani. Wote wachumia tumbo tu!!
Asante kwa kuwapa taarifa ya muhimu. Ni matumaini yangu kuwa watalifanyia hili suala kaziPro-Chadema ebu kuweni mfano wa Dr Slaa kadi zenu za CCM zitunzeni.
kuliko kubweka tu unatakiwa kujua walau katiba ya chama chako kwanza kabla hujaropoka kama huyo kilaza mwenzako Nape katiba ya ccm ibara ya kumi sehemu ya 1 kuhusu sifa za mwanachama inasema mtu akichukua kadi ya chama kingine amejifuta uanachama sasa wewe na NEPI mnaporopoka ina maana hamsomi katiba yenu au dr slaa kipengere hicho cha katiba hakimhusu epuka kuonesha upumbavu wako mbele ya umma.Ndiyo slaa ni active member na analipia ada zote za wamachama huko anazuga tuuu kwa ushahidi njooni mjengoni mpewe data zote.na c slaa tu lipumba,hamad,zito,mbowe wote ni wanaccm
Mkuu unajua wewe ni Bonge la POYOYO na huwa napenda sana kusoma Post zako kwa sababu Nafanya research ili nigundue Ulizaliwa Msimu gani. Msimu wa Maembe kutoa Maua au Msimu wa Maembe kuliwa na wadudu. Kwa hiyo mkuu usinichoke
Ndiyo slaa ni active member na analipia ada zote za wamachama huko anazuga tuuu kwa ushahidi njooni mjengoni mpewe data zote.na c slaa tu lipumba,hamad,zito,mbowe wote ni wanaccm[/QUO
Acha kujifariji wewe unaweza kusema hata Obama ni rais wa Kenya kisa kazaliwa kenya