Hatimaye Boss kaoa

Yako imehorojeka haina ladha. Endelea kuikanda labda itapata mteja.
 
Hyo mikonk minene. Ndio alicho penda huyu Bo's wako

Na utachwa Hadi ufut kauli zako za kipuuzi puuzi
 
"...chuki humchoma anayehifadhi...."👣

Wenyewe wanasema umuvu oniii ila mimi nakupa pole pili Waombee heri tu...

Jiliwaze kuwa Malipo duniani maana mbinguni hakuna benkiii...🏌🏿‍♀️
 
Watu wanaoa wanawake wanaojitambua sio wanaoringia sura na makalio wakati kichwani hamna kitu
Hyo ni Moja ya kitu dada zetu wanashindwa kuelewa, hatuoi wanawake wanaovutia kupita nao kwenye red carpet
 
Ila karma is a bitch na itamrudia tu kwa kunipotezea muda wangu na kunichezea
Duh pole sana, navuta picha jinsi papuchi yako ilivyotumika na umeambulia zero, wallah nakuonea huruma.
Anaway tayari wewe ni msimbe karibu chamani, so far you are Strong no tatizo
 

 
All in all karma does not work madam kama umeachwa kaolewa mwingine shortly we sio mke bora kwake hukuwa na vigezo alivyovitaka kutanuana vzr sio kigezo kuna maisha baada ya kutanuana fanya mtegemee mungu kwa kila jambo hayo yatapita upe moyo wako nafasi upumzike uyasahau upampata wa kufanana nawe mtafika mbali ila usikurupuke kumtafa mwingne kwa kigezo cha kumkomoa maana anaetumika ni wewe upande huo kashatoka coz hasira hasara sometimez

Na nimeendaaa
 
 
Utumie huu muda kujifunza wapi ulikosea, kuna sehemu utakuwa na shida ndiyo maana umeishia kuliwa tu na kuachwa. Hayo ya kusema utafunga uombe waachane huo ni uchawi, kubali kuwa hiyo meli imeshakuacha. Ukihitaji company nipo hapa maana nipo singo wala sijawahi kuona umuhimu wa kuwa na mahusiano, labda wewe ndyo utakuwa mwanga wa kunibadili msimamo.
 
Na wewe olewa na Jamaa wa kawaida Hadi boss ajiulize na yeye huyu X wangu amempendea nini huyo Jamaa??Bothi timu To skoo!!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…