He he he he, nihojiwe mie? SI ulimtorosha kwenda Uk (UK=Ukerewe)
halafu ngoja nikunong'oneze kitu hivi una habari kuwa The secretary ni wizard? Itakuwa kamtoa kafara wallah vilee
He he he he, nihojiwe mie? SI ulimtorosha kwenda Uk (UK=Ukerewe)
Hureeeee ila hapo lazma atahofia kutumikishwa kunako sita kwa sita
Labda uahidi kuwa malipo ya hizo pesa hayatakuwa adhabu kwenye mambo ya utamu utamu maana haka kajamaa kameshazeeka kasije kakakufia bureee Ladymayasa
kaenda vitani au yeye punda?
Kama vipi nikutakase si unajua mila zetu?
Chezea masifa?
Hahahaaaa ana madeni hadi kwa mama mwenye nyumba na vimwana wake bado wanakomaa wanataka mahitaji na FINCA hawamwachiiii
Achana nae na umwambie kujikeri kwetu kawaida kila siku usiku...yan tunajikeri kwa zamu
Unamaanisha kwenye avatar yake amepiga picha na bidhaa zake?
Halafu wewe ni jeuri kumzidi, kumbe umezaa na mkewe The secretary?!!!
Chocs nilishamwambia akiniudhi tu namchukulia mumeNawewe uzae sasa cheki,mwezio The secretary anataka kukupiku