Hahahahaaaaa Mr Rocky hizi ni habari mpasuko kwangu lolMara ya mwisho Bishanga alionekana mitaa ya Mfaranyaki akielekea Msumbuji baada ya kusikia kuwa kuna matumaini ya gesi so anaenda kutafuta kibarua cha kuchimbia mabomba ya gesi bahati mbaya hakuweza kuvuka daraja linalotenganisha Msumbuji na tanzania kwa kuwa alishindwa kutamka nchale
Rumours through people's mouth zinasema eti Mnyaru !
Hahahaaa huyu jamaa haniwezi
Kama alishindwa kunizuia kuzaa na mkewe sembuse hii kashfa?
Kwanza kafulia mbayaaaa hapa nimemtumia buku tano ajiunge na bundle la week walau aje atusalimie tinna cute
Hahahaaa wanaexchange makazi na Babu Seya au?
Hahahaaa
Halafu umeona mkeo anavyommiss mume wa mtu hapo juu?
Sijui karogwa Lady doctor hata sielewi