nitonye
JF-Expert Member
- Dec 18, 2011
- 7,349
- 3,908
Pakistani
kaenda vitani au yeye punda?
Pakistani
Hahahahaaaa hilii ni lihabari mpasuko shem
Mbegu kwani si mahindi?
Taja jina lake eboo....!
Hizo zipo na hapa Chocs ndo ananataka kuzitoa za usiku hahahaa
kaenda vitani au yeye punda?
Kabisa na ikiwezekana @ The Secretary ahojiwe
naona kaenda vitani sijui kama atarudi
Hahahahaaaa hilii ni lihabari mpasuko shem
halafu ngoja nikunong'oneze kitu hivi una kuwa The secretary ni wizard? Itakuwa kamtoa kafara wallah vilee
Hahahahaaaa hilii ni lihabari mpasuko shem
na ulogweeeeeeeeeeeeeeeee